Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Screenshot_20190324-194635.jpg
 
Hakuna MTU ambae sipendi mpira kama Mimi Money Penny
NI heri nisome NOVEL ya page 1000 au nimalize Novel 2 za page 200 kulikonI kuniangalishisha mpira
Napenda sana Mziki, nitakesha mpaka asubuji Disko lakini ukiweka Tu mpira me nasinzia na Kula hapo hapo

Leo wakati namalizia kuandika hadithi ya walokole inaitwa JESUS FREAK, mume akaja na marafiki zake wanajiandaa kwenda uwanjani

Mume akaninong'oneza eti twende mpenzi uwanjani tukaangalie mpira, Mimi nikacheka kimahaba zaidi, nikamkumbatia alafu si nilikuwa nimekaa na yeye kasimama akanibeba nikaweka miguu yangu kwenye kiuno chake, mkono wangu wa kushoto begani kwake mkono wangu wa kulia kwenye Mboo yake nikamnong'oneza!

Money Penny: Tukienda wote uwanjani Tz wakifunga Mimi sishangilii nashikilia mboo yako ishara ya kusheherekea, lakini ukiniacha nyumbani Tz ikafunga ikachukua ushindi leo usiku hakuna kulala huku namasaji machine yake!

Sa sijui alikolea massage akanibeba kuelekea chumbani kwetu akaniweka kitandani akanichumu akaniambia usiondoke mpira ukiisha Tu narudi nyumbani hata kwenye pombe busy bei siendi

Ndio nipo hapa najiandaa maana naona Tz imeshashinda huko SA sijui itakuwaje usiku

Nimeona niandike uzi mapemaa maana mechi za ushindi unaweza usiinuke kitandani siku 3
Hata mimi sipendi lakini kwa mechi hii ya leo Mmh imenishawishi aysee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom