Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Kinaxhoendelea leo ni dhahiri kwamba kama taifa tunaweza kufanya chochote tukiamua. Leo hii naiona Tanzania iliyoungana kisawasawa kama taifa. Nimatumaini yangu kuwa siku zijazo tutaendelea kuwa hivi hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyooooooooooooo!!!! Viva TZ TZ.
Huuuuuuurahhhh TZ TZ.
Uwiiiiiiiiiiiiiiii, keleuwiiiiiiiiiiiii!!!!!![emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Aaaai mamaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji23][emoji23][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23]haters bado mnapumua.?????????.

Viva la Vida Taifa stars. Viva TZ TZ.


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
CCM tafadhalini msiingize siasa kwenye Mpira, mnatukera sana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tuambiane viwanja gani bei ya bia imeshuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…