Mpwa hongera [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Ni aje Mpwa? [emoji2095]
Tusheherekee big achievement
Tayari 0-0
Oh kavu kavu ndo tamu.Jamani nawakumbusha kutokana na kwamba pombe zitakuwa nusu bei,chonde chonde najua leo furaha itawafanya mrelax na kusahau kama kuna UKIMWI. Hivyo nawakumbusha mtumie Condom jamani.
Lokesheni ya machimbo ya ½ bei??
Woyooooooooo zame yetuuuu!