Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Kinaxhoendelea leo ni dhahiri kwamba kama taifa tunaweza kufanya chochote tukiamua. Leo hii naiona Tanzania iliyoungana kisawasawa kama taifa. Nimatumaini yangu kuwa siku zijazo tutaendelea kuwa hivi hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyooooooooooooo!!!! Viva TZ TZ.
Huuuuuuurahhhh TZ TZ.
Uwiiiiiiiiiiiiiiii, keleuwiiiiiiiiiiiii!!!!!![emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Aaaai mamaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji23][emoji23][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23]haters bado mnapumua.?????????.

Viva la Vida Taifa stars. Viva TZ TZ.


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
img-20190324-wa0004-jpg.1053138.jpg
 
Back
Top Bottom