Teh.. Umenikumbusha rafiki yangu mmoja mganda aseeehhh.. Pia alikuwa footballer.. lol ngoja nitoke ndrukiii kabla Smart911 hajatia timu hapaHahahahaha
3 bila vepe?
Ntaisoma namba leo
Uwoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nahisi kuchanganyikiwa kwa furaha. Nani anishike jamaniiiiiiiiii
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Acha umafi.Haya majamaa ya Chadema yana roho mbaya kama wachawi yaani yalitamani Taifa stars ishindwe eti kwa sababu Magufuli ni rais.
Pombe sio chai,yani kajamaa uso umekunjana kama tonge la dona hahaa iyo nusu bei si itakafanya mbaya
Acha ungese kyuma wewShukurani Zote Ziende Kwa Timu Yangu Pendwa ya SIMBA SC iliyoanzisha Mkakati wa "Do or Die" inapokuwa kwa Mchina na Kushinda ni Lazima.
Leo Taifa Stars wameamua Kufuata Nyayo za Mnyama kwa Kushinda Kwa Mchina.
Sasa tunawasubiri na Wale [emoji196] [emoji196][emoji196] wa pale Madimbwini nawao wafuate Nyayo zetu za "Do or Die" pale kwa Mchina.
Nawasilisha
Nonsense.Shukurani Zote Ziende Kwa Timu Yangu Pendwa ya SIMBA SC iliyoanzisha Mkakati wa "Do or Die" inapokuwa kwa Mchina na Kushinda ni Lazima.
Leo Taifa Stars wameamua Kufuata Nyayo za Mnyama kwa Kushinda Kwa Mchina.
Sasa tunawasubiri na Wale [emoji196] [emoji196][emoji196] wa pale Madimbwini nawao wafuate Nyayo zetu za "Do or Die" pale kwa Mchina.
Nawasilisha
Haha ulikua ni mtazamo tu
Bia imepunguzwa bei. Kumbe shida ni bei ya bia.Hongera Taifa Stars, hongera Watanzania.