Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Nonsense.
Kwani wewe umeshawahi kuandika Kinachomake sense?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense.
Lesotho hali ilikuwa tete kwa mujibu wa statisticsLesothi kapambana ila ngoma imekataaa, ila kwetu ni tofauti,
Mkuu kanywe sumuAsante sana Museveni yaani wewe ni ndugu yetu wa damu kabisaaa.
Hata kama tungeshinda na CV wakaamua kulegeza tusingepita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tusingeshinda CV wangetusaidia nini?
Ntakunywa sumu kuvipi wakati kuna discount ya bia wewe ndo kanywe sumu.Mkuu kanywe sumu
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Location wapi eti
Lesotho ilikula kwao, hana ujirani mwema na mwenzake. Twende mbele turudi nyuma Uganda wametumia ujirani mwema, hawakuwa wanapoteza kitu. Na wangetufunga tungewachukia na kuwatukana milele.
Nategemea kesho idadi kubwa ya wakazi wa dar watafukuzwa kazi kwa kuchelewa kazini au kutohudhuria kabisa
Sent using unknown device
Vyura wamenuna ila ndio ukweli huuShukurani Zote Ziende Kwa Timu Yangu Pendwa ya SIMBA SC iliyoanzisha Mkakati wa "Do or Die" inapokuwa kwa Mchina na Kushinda ni Lazima.
Leo Taifa Stars wameamua Kufuata Nyayo za Mnyama kwa Kushinda Kwa Mchina.
Sasa tunawasubiri na Wale [emoji196] [emoji196][emoji196] wa pale Madimbwini nawao wafuate Nyayo zetu za "Do or Die" pale kwa Mchina.
Nawasilisha
Uganda hata match ya kwanza tuliwakamata vizuri sana hasa kipindi cha pili. Hao tumewafunga vizuri tu hakuna kuachiwa hapa. Unafikiri hawataki record nzuri kwao?Lesotho ilikula kwao, hana ujirani mwema na mwenzake. Twende mbele turudi nyuma Uganda wametumia ujirani mwema, hawakuwa wanapoteza kitu. Na wangetufunga tungewachukia na kuwatukana milele.
Nashukuru tumeshida.ila sisi sio kama mpira hatuujui ila tatizo bei ya bia.
Ndio mkuu, ongera sana jpmAwamu ya 5