Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mkuu, nadhani leo tutakua tumeshika mamba 1 angalau kwa saa 1 hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
It Doesn't Work Like That Ndugu! Ushindi Katika Soka Hauwezi Ku-Justify Furaha Ya Wananchi Kwa Mujibu Wa Vigezo Vinavyotumika Kuzipata Hizo Nchi Zenye Furaha Duniani.
Ile milioni hamsini aliyobeti kipindi kile leo ndio imerudi, acha tu apongezwe, wewe ulishabeti wapi million hamsini?Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ni sahihi kumlaumu kuhusu Korosho?Yeye ndio Mkuu wa Nchi
Kila Jambo likivurugika Kwenye Nchi Lawama anapewa Rais Kwanini likikaa sawa tusimsifu?
Hongera Dkt Magufuli kwa ushindi mfululizo kuanzia wa Simba, Hasana Mwakinyo Na Leo Taifa Stars
Wanafiki wakiongozwa Na Da Mange wameumbuka
Hiyo alibet akaliwa ndio maana kwa Uganda hakubet tenaUmesahau alichangia 50m wewe umechangia nn mpaka ukereke?
Inasikitisha! JK alijitahidi kwa nguvu sana kulisongesha soka letu, halikutikisika kusonga mbele. Awamu hii, blah! Blah! tu kwenye michezo, kaokota dhahabu Kariakooo!Sasa watu kibao wataibuka kujidai wamechangia mafanikio ya Stars
Ndani ya wiki mbili kafanya assist zilizoipeleka Simba robo fainali ya CAF na Taifa Stars fainali za AFCON,Big up to the big man Bocco pia hongera kwa AZAM FC kwa kukuza na kulea vipaji maana first eleven ilikuwa na product zao 6 si jambo dogo.Leo nimemkubali sana John Bocco
Wewe ndio ulisema utakunya starz ikifuzu?... Bora twende tukakomaze timu yetu kuliko mapambio kila sikuSijui kama tunafahamu huko tuendako.
Kwa kiwango tulichonacho, sidhani hapo ktk makundi kuna timu size yetu.
Tutaambulia goli za kutosha kutokana na timu yetu kuwa mbovu mbali na uwanja wa taifa na hii sio timu ya taifa tu bali hata vilabu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Acha wivuSijui kama tunafahamu huko tuendako.
Kwa kiwango tulichonacho, sidhani hapo ktk makundi kuna timu size yetu.
Tutaambulia goli za kutosha kutokana na timu yetu kuwa mbovu mbali na uwanja wa taifa na hii sio timu ya taifa tu bali hata vilabu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mbona unaweweseka ghafla?Hivi ulichoandika umekifikira kwanza? Au ofa za Makonda zinaongea? Mbwa ww, Mbowe anahusikaje kwenye mada hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app