Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mkuu, nadhani leo tutakua tumeshika mamba 1 angalau kwa saa 1 hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaa kuna baadhi ya nchi mie naona Mungu angezishushia tu gharika ya kimbunga ida tukarest in pisi..mfano tanzania...hatuna la maana kbs..!
Labda uniambie makao makuu ya "FWIFWA" yatahamia Tz
..na vile siulew mpira najiona tofauti mwe