Chuki za nini sasa? Tushukuru Mungu,Uganda walikuwa watakualify,they had nothing to lose.kuongoza kundi walikuwa washaongoza hata wakifungwa. Pia tuwashukuru Cape Verde kwa kuwabania Lethoso.
Unataka asilaumie kuhusu korosho .hauko serious,au wewe robot.kwa amri yake sio waziri wa kilimo au PM,alizuia wanunuzi akatamka atanunua siku 2,walinda mipaka yetu watabangua hata kwa meno maana aliambiwa viwanda havitoshi hata robô ya uzalishaji.sasa tunaenda miezi sita badala siku 2.wakulima wengi hawajalipwa korosho zinaharibika.unataka walaumie wakulima kwa kuzalisha zaidi 1500kg kwa kuwa nembo ya chama jembe la mkono ,kwamba mkulima amiliki si zaidi ya miti ya korosho 30-50=ekari 1-2. Jifunzeni kufikiri nje ya box la jembe la mkono.cherehani 3 kiwanda!
Kereka hadi ususe lakini hali halisi ndiyo hiyo. Hivi wewe hujawahi kusikia kuwa' enzi ya nyerere mpira ulikuwa juu kuliko sasa' Hivi tuseme Nyerere kama rais hakuhusika kwa njia moja au nyingine.Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sawa Mhandisi. Furahi sasa.uliishapatwa, mengine kujifaragua tu
Magufuli anapewa pongezi kwa kuwa ni mmoja wa mashabiki kama ulivyosema kwenye andiko lako.Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo ongera, ni hongera... Nimesoma ujumbe wako una ukakasi sana kwenye hilo neno, nimeona bado tu umeng'ang'ana nalo, nimeona vema usaidiwe. Mengine sina comment...Ndio mkuu, ongera sana jpm
Nipo mkuu, kwema?Mkuu upo?
Asee yan watz shida sana, hata ukipata mtoto utamshukuru na kumpongeza JPM hahahaaCkuiz mtu hata akiingia chooni akitoka utasikia
" shukrani zangu za kwanza ziende kawa jpm!!!
Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
Kabsaaa huku ni kujipendekeza kwa hali ya juuAsee yan watz shida sana, hata ukipata mtoto utamshukuru na kumpongeza JPM hahahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashaka na umri wako!!! Kati ya JPM na JK raisi mwanamichezo ni nani? Choko ww... Kuna rais aliependa michezo kama JK?? Alimlipa hadi kocha. Alikua anahudhuria uwanjani karibuni kila mechi Magufuli hastahili pongezi yeyote kwenye mechi hii.Sishangai hii nchi kuwa na wstu wajinga wspumbavuu na vilaza kama wewe. Hivi wewe mpaka hapa hauoni mkono wa serikali hadi hspo ilipofika. Haujiulizi ni kwanini hamasa hii iwepo sasa na sio kipindi cha nyuma.
Magufuli ana watendaji wake, waondio amewapa dhamana kusimamia michezo kwa niaba ma maelekezo yake.
Magufuli alikutana na wachezaji stars kuwatia hamasa.
Magufuli kaonfoa ubabaisha TFF na ndio maana skina Malinzi, Eambura na wengine wako ndani.
Hizo ni baadhi tu ya hatua alizochukua hadi kufika hapo tulipo leo.
Sass wewe kilaza kila kitu unawaza kiufipa tu ndio masna unaona hakuna mchango wa rais.
Mkuu,walioko magerezani wanaharibuje mpira,?Ukweli tulipangiwa kundi jepesi, ingawa hatuwezi beza juhudi za serikali kupambana na waharibifu wa mpira walioko magerezani.
Hongera wachezaji na makocha,
Hongera TFF,
Hongera Rais wa TFF Wallace Karia,
Hongera Makamu wa Rais TFF Athumani Nyamlani,
Hongereni Watanzania wenzagu
Haya sawa Mhandisi. Furahi sasa.
Ww na baadhi ya watu ni maadui wakubwa kabisa kuwahi kutokea kwa demokrasia na uhuruNaunga mkono hoja, ni kweli kabisa, ndio maana niliuliza...
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P