Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Chuki za nini sasa? Tushukuru Mungu,Uganda walikuwa watakualify,they had nothing to lose.kuongoza kundi walikuwa washaongoza hata wakifungwa. Pia tuwashukuru Cape Verde kwa kuwabania Lethoso.

uliishapatwa, mengine kujifaragua tu
 
chadema wabaya sana wametawala miaka 38 taifa stars hawajahi kwenda afcon lakini ccm wamekaa miaka mitatu tu tunaenda afcon
 
Kwa hiyo ni sahihi kumlaumu kuhusu Korosho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka asilaumie kuhusu korosho .hauko serious,au wewe robot.kwa amri yake sio waziri wa kilimo au PM,alizuia wanunuzi akatamka atanunua siku 2,walinda mipaka yetu watabangua hata kwa meno maana aliambiwa viwanda havitoshi hata robô ya uzalishaji.sasa tunaenda miezi sita badala siku 2.wakulima wengi hawajalipwa korosho zinaharibika.unataka walaumie wakulima kwa kuzalisha zaidi 1500kg kwa kuwa nembo ya chama jembe la mkono ,kwamba mkulima amiliki si zaidi ya miti ya korosho 30-50=ekari 1-2. Jifunzeni kufikiri nje ya box la jembe la mkono.cherehani 3 kiwanda!
LAWAMA ZA KOROSHO ZITAFIKA MIAKA 2 ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Kereka hadi ususe lakini hali halisi ndiyo hiyo. Hivi wewe hujawahi kusikia kuwa' enzi ya nyerere mpira ulikuwa juu kuliko sasa' Hivi tuseme Nyerere kama rais hakuhusika kwa njia moja au nyingine.
Maskini muonee lakini haki apewe. Hivi mara ya mwisho ni rais gani hapa nchini aliwahi kutoa 50 million kwa ajili ya stars?
Wenyewe wanasema kuwa huu ni mwaka wao. Mimi na wewe aidha tusherehekee nao au tunyamaze kimya.
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anapewa pongezi kwa kuwa ni mmoja wa mashabiki kama ulivyosema kwenye andiko lako.
 
Jana Togo wamefungwa na Benin wananchi wanamlaumu Rais wao na serikali yake kwa kushindwa kufuzu. Sasa wewe unashangaa nini Rais Magufuli kupewa pongezi kwa ushindi wa Stars.
 
Sishangai hii nchi kuwa na wstu wajinga wspumbavuu na vilaza kama wewe. Hivi wewe mpaka hapa hauoni mkono wa serikali hadi hspo ilipofika. Haujiulizi ni kwanini hamasa hii iwepo sasa na sio kipindi cha nyuma.

Magufuli ana watendaji wake, waondio amewapa dhamana kusimamia michezo kwa niaba ma maelekezo yake.

Magufuli alikutana na wachezaji stars kuwatia hamasa.

Magufuli kaonfoa ubabaisha TFF na ndio maana skina Malinzi, Eambura na wengine wako ndani.

Hizo ni baadhi tu ya hatua alizochukua hadi kufika hapo tulipo leo.

Sass wewe kilaza kila kitu unawaza kiufipa tu ndio masna unaona hakuna mchango wa rais.
Nina mashaka na umri wako!!! Kati ya JPM na JK raisi mwanamichezo ni nani? Choko ww... Kuna rais aliependa michezo kama JK?? Alimlipa hadi kocha. Alikua anahudhuria uwanjani karibuni kila mechi Magufuli hastahili pongezi yeyote kwenye mechi hii.
Kwa hiyo ikifungwa pia tumlaumu ama???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli tulipangiwa kundi jepesi, ingawa hatuwezi beza juhudi za serikali kupambana na waharibifu wa mpira walioko magerezani.
Hongera wachezaji na makocha,
Hongera TFF,
Hongera Rais wa TFF Wallace Karia,
Hongera Makamu wa Rais TFF Athumani Nyamlani,
Hongereni Watanzania wenzagu
Mkuu,walioko magerezani wanaharibuje mpira,?
 
Back
Top Bottom