Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiri kwenye kuongeza mishahara.. alisema yeyey hatoi kiduchukiduchu atatoa BIG ya kufungia uchaguzi... ila akumbuke kuwa JAKAYA yeyey hakusubiri michosho alikuwa kila mwaka anatekeleza wajibu wa kisheria kwa kuongeza kasma kila mwaka wa bajeti japo hicho kidogo lkn wananchi walikuwa na matumaini kidogo. aliweza kuongeza takriban 15% mpaka 35% kutoka kima cha chini. mfano mshahara ulikuwa 100,000/= alijitahidi ukapanda mapaka 150,000/= aliweza kuongeza 35,000 mpaka kufikia 50,000/= kiasi kwamba ukichukua 50,000/= za Jakaya x 5yrs ni karibia aliongeza jumla ya 250,000/= kwa sasa huyu mkulu yeye anasema ataweka jazio kuu nadhani anategea kwenye uchaguzi.. je salio atakalo weka litavunja rekodi ya jakaya ama ndio litakuwa changa la macho?
 
kwani wakati Cape Verde inafungwa huyo alikuwepo wapi??

credits ziende kwa wachezaji na wala si shabiki wala kamati.

mchezaji anahitaji uwanja na mpira tu sio kitu kingine Libya wanacheza bila kamati wala mashabiki na wanapata matokeo....wewe nini bwana
Uwezo wa watanzania kufikiri ni Mdogo sana wachezaj na bench LA ufundi hawapewi sifa, Ila sifa anakuja kupewa mpiga debe
 
12.jpg
team.jpg
win.jpg
 
Tuendako mtu atahangaika kupata mtoto muda mrefu siku akishika mimba utasikia "asante sana ccm na serikali ya awamu ya tano Kwa kuniwezesha pata mimba, hongera mzee mwenyewe"
Hapo ndio waume tutabaki na mshangao!

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna timu za vijana , hakuna miundombinu ya soka, ligi inachezeshwa kishabiki wewe unashangilia upuuzi
 
Ushindi wa Taifa Stars has nothing to do with Magufuli being in power. Inawezekana kabisa hayo matokeo yalikuwa "Arranged" kwani Uganda tayari hawakuwa na cha kupoteza.

All in all, tusubiri fainali ya Afcon kule Egypt mwezi June, ndio ukweli utadhihiri. Sasa huko tukijafungwa sijui Magufuli atakuwa katoka madarakani. I can't say it right now.
 
Ukweli vingine ni irrelevant. Muhimu kama Taifa tumeanza kupiga hatua fulani katika Mpira wa miguu. Na kwamba tukijipanga kisayansi tunaweza Fanya vizuri zaidi. Jinsi timu ya Taifa ilivyocheza jana hata kama isingefuzu au ingefungwa kiwango cha timu kilikuwa kizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindi wa goli 3 kwa 0 ilioupata timu ya taifa stars leo dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Nchi za African@ AFCON zitakazochezwa Misri mwezi June mwaka huu ni uthibitisho mwingine kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda ni hadhina kwa taifa kwenye upangaji na usimamizi wa masuala ya kitaifa.

kwa faida ya wengi ni kwamba Mh Makonda alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kuiwezesha taifa stars kufuzu AFCON 2019 ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa na jukumu la kushirikiana na Uongozi wa timu kubuni mbinu na mikakati ya kiufundi ndani na nje ya uwanja, bila shaka kwa matokeo yaliyopatikana inahitaji kiburi na husuda na wivu kupinga kwamba hajafanikiwa.

Jukumu lingine kubwa lilikuwa ni kuhamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwapa nguvu na hamasa wachezaji ya kupambana na kushinda. Katika hili la kuhamisha watu kujitokeza tumpe Kongole Makonda kwa niaba ya kamati aliweza kuwaunganisha watu maarufu kutoka tasnia za muziki, filamu, wanamitindo, wanasiasa na kuwaomba kutumia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhamisha wananchi na matokeo yake yameonekana uwanja ulijaa yaani zaidi ya watu 60,000 walikuwepo taifa.

Kwa kurejea baadhi ya mambo mengine mengi ambayo mhe Makonda amewahi kufanya;-

## kufanikisha kama kusaidia Walimu katika Mkoa wa Dar es salaam kupanda daladala bure,

## kufanikisha upatikanaji wa bima za afya @ toto kadi kwa mamia ya watoto ambao wametelekezwa na wazaz.

## kuwapatia viatu bandia walemavu, kuchangia matibabu ya wagonjwa mbalimbali nje ya Nchi.

## kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi zinazohusu ardhi na kuwasaidia wakina mama hasa wajane waliodhurumiwa Nyumba na mashamba.

## kupanua huduma za kijamii kama vile ujenzi wa hospital Temeke, shule za sekondari na Msingi hivyo kuwawezesha wananchi na wanafunzi wengi kupata huduma.

Makonda ni binadamu pamoja na mafanikio hayo Lukuki aliyofanya katika kipindi kifupi ambacho amekuwa mkuu wa Mkoa yaweza kuwa kuna mapungufu ya hapa na pale amefanya lakini hayaondoi ukweli kwamba amejitanabaisha kuwa ni asset kwa taifa letu.
Unajua maana ya big brain?? hiyo kazi hata Pierre mlevi si anaweza Fanya?? Huu ushindi waganda wametubeba
 
Kweli Nabii hakubaliki kwao
Tulishawahi kumwandikia barua ya wazi Mh rais,kuwa atupe makonda a,k.a bashite katika mkoa wetu
Sisi huwa hatufati wala hatujali majina
Tunachokitaka ni utendaji tu
Cha ajabu hadi leo barua yetu mkuu hajaijibu[emoji1321]‍♂️
 
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusidanganyike. Bila rais imara hakuna taasisi imara..tunaanza na rais imara ndio taasisi na raia imara tunapata. Tulianza na rais imara nyerere....hatimae raia imara wamemleta rais imara jpm.
 
liangalie...chuki tu
Chuki za nini sasa? Tushukuru Mungu,Uganda walikuwa watakualify,they had nothing to lose.kuongoza kundi walikuwa washaongoza hata wakifungwa. Pia tuwashukuru Cape Verde kwa kuwabania Lethoso.
 
Ila kutumia watu ambao ni 'mfano mzuri wa kuepukwa na jamii' sikuunga mkono kabisa hilo. Ni vyema tungewatumia wachezaji wa mpira wa miguu walioipa Taifa mafanikio kuhamasisha kuliko wavuta bange na picha za utupu ktk mitandao.
 
Back
Top Bottom