Baada ya miaka 6 ndio nimeanza kusikiliza hotuba ya Rais tena

Baada ya miaka 6 ndio nimeanza kusikiliza hotuba ya Rais tena

Hauko peke yako ndugu, ukisikiliza hotuba ya Mkuu wa Nchi unategemea kufarijika na kujenga matumaini mapya, lakini enzi za Kinjekitile ni kufokena na makasiriko tu, ya nini kujiongezea stress....
 
To be honest mimi niliacha kabisa kuangalia hotuba za Rais aliyepita baada ya kuona kwamba mh alikuwa anatukuna na kufokea watu km kawazaa yeye, maneno mengine ni kwenye nyimbo za mioasho lakini utayakuta kwenye hotuba yake, na jamaa alipenda mno kudharau watangulizi wake as if yeye ameleta kipya mno wakati watu ndo tumezidi kuwa masikini but hatimae kitabu chake duniani kimefungwa na mi nitamkumbuka kwa mabaya.

Awamu ya nne ulikuwa ukiniamsha usingizini nakutajia mawaziri wote na manaibu waziri ila awamu ya Magufuli nilikuwa namfahamu waziri mkata viuno na mpima samaki.

Hili ni funzo kwamba hata pale Mungu akitupa madaraka tusijipandishe sana tukasahau kwamba sisi ni binadamu wenye damu na nyama tu, muda wowote tunakufa na kuwa udongo.

TUISHI VIZURI NA WENZETU SIKU ZOTE HATA KAMA UNA MADARAKA MAKUBWA AU PESA NYINGI KUWA NA HESHIMA NA HEKIMA KWA WATU WOTE.
Mimi ata nikikutana na mtu kavaa nguo za ccm simchukii tena, hii tabia imekuja baada ya stone kufa na mama yetu kushika hatamu ya uongoz.
 
Mama alikua anamsikiliza sio kwa kumpenda bali kupata faraja jipya katika biashara zake zilizotegemea nchi ya kenya lakini kila hotuba ni nyundo tu tumaini lilikua likikung'utwa nyundo.

Sasa basi wakati akimsikiliza mimi earphone zangu mziki hadi mwisho kama haitoshi natoka zangu ndani njeeeee...

R.I.P Jiwe.
 
Ipo siku yataanikwa maovu ndipo wafuasi watastaajabu na kuachama kinywa
 
To be honest mimi niliacha kabisa kuangalia hotuba za Rais aliyepita baada ya kuona kwamba mh alikuwa anatukuna na kufokea watu km kawazaa yeye, maneno mengine ni kwenye nyimbo za mioasho lakini utayakuta kwenye hotuba yake, na jamaa alipenda mno kudharau watangulizi wake as if yeye ameleta kipya mno wakati watu ndo tumezidi kuwa masikini but hatimae kitabu chake duniani kimefungwa na mi nitamkumbuka kwa mabaya.

Awamu ya nne ulikuwa ukiniamsha usingizini nakutajia mawaziri wote na manaibu waziri ila awamu ya Magufuli nilikuwa namfahamu waziri mkata viuno na mpima samaki.

Hili ni funzo kwamba hata pale Mungu akitupa madaraka tusijipandishe sana tukasahau kwamba sisi ni binadamu wenye damu na nyama tu, muda wowote tunakufa na kuwa udongo.

TUISHI VIZURI NA WENZETU SIKU ZOTE HATA KAMA UNA MADARAKA MAKUBWA AU PESA NYINGI KUWA NA HESHIMA NA HEKIMA KWA WATU WOTE.
Soon utarudi huko kwenye kutosikiliza hasa ikizingatiwa kuwa wote ni wanasiasa.
 
Back
Top Bottom