peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ni mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.