Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 304
- 238
Uhuru tulipata wa makaratasi ila uhuru kamili ni.uchumi imara kwa taifa hivyo hiyo kazi haijaanza. Ili ianze ondoa CCM madarakani kwani kazi yao ilikuwa kuleta Uhuru ilisjaisha kazi ya kujenga uchumi ni chama kingine au CCM mpya