peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Watakwambia ni nchi changa.Halafu watakwambia ..."tukitoka sisi CCM nani mbadala wetu"...?Utadhani Nyerere alipokabidhiwa nchi alikuwa mwenyekiti wa kijiji.Merde,CCM...Merde!Ni mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha Za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani? Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule Za sekondari.
Bajeti ya serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo ?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Uvivu wa kutotumia akili na kupenda vya bure.Nchi gani ilihukumiwa na deni la IMF.
Hizo hela za IMF zipo nje nje ,zikipatiwa nafasi lazima tuziwekeze.
Kwani reli si ina miaka Zaid ya 60 ya Uhuru? Kwa NN yenyewe tunakopa kujenga SGR? Population ya wanafunzi wanaopaswa kujiunga na shule mwakan Ni Sawa na miaka 60 iliyopita? Ant SSH mnahangaika Sana Ila mmekwama mapema.PolenNi mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
mzungu hafai lazima atufanye tegemezi maisha yetu yoteNi mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Hoja ya kujiuluza ije wakati tumejenga hayo madarasaNi mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Hapo hayajengwi madarasa wala nini, zitanunulia maviieite ili wezi wa kura wazidi kupandisha mabegaNi mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
labda ndiyo masharti ya mkopo! Cha kujiuliza je tulikuwa na ulazima wa kuomba mkopo huo?Ni mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Ammaaa ya Musa wa Fimbo Firaun yu upenuni. Miaka 60 bado tunatengeza Wauza miogo na chapati, mandazi upenuni mwa barabara. Huku Traffic lights zikivamiwa na Wauza miogo na chaki feki za kichina.Ni mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.?
Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani?
Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR .
Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya shule za sekondari.
Bajeti ya Serikali Kuu 2021/22 ya maendeleo iko wapi na imeelekezwa kufanya shughuli zipi Za maendeleo?
Ni Muhimu kukopa ila kwa ajili ya miradi ya Kimkakati Ili ichangie ajira na pato la Taifa ila madarasa serikali ilikuwa na uwezo na sababu ya kuyajenga bila mikopo na riba.
Basi hiyo serikali kubwa ijichapishie hela zake za matumizi na mishahara na hela za kodi zetu zibaki kujenga Nchi ya kisasa na maendeleo yanayoakisi hii miaka 60 ya uhuru umri wa mzee anayestaafu kwa lazima.Madini yote
Gesi
Mafuta
Bandari
Utalii
Na bado wameleta TOZO
NA Sasa wanakopa
Tatizo ni kuwa na serikali kubwa mno, na utitiri wa viongozi Bila kuleta tija. Posho, V8, mafuta, nyumba, etc
uko sahihi lakini si vyote mkuu. Fikiria hata kujenga choo cha shimo hatuwezi kuchimba na kujenga mpaka tuombe msaada JICA au USAID???Sikiliza mkuu,mzungu alipotuvumbua,aliona hiyo ni fursa kwake Kwa miaka mingi.Na hata alipoamua kuacha kututawala moja Kwa moja,alijitengenezea utaratibu maalum utaendelea kutulazimisha kuendesha nchi zetu hizi,Kwa namna anavyotaka yeye.Mkijifanya wababe,ndiyo kama Yale ya Zimbabwe,au kama Yale maisha nchi yetu iliyapitia miaka ya 80.Maisha ambayo ilikuwa ukikutwa na Colgate moja au sabuni Geisha unapata kesi.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app