MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!
[emoji126] [emoji126] [emoji126]we bo.ya nini....kama kura za maoni si uende huko jukwaa la siasa!!...kwani lazima uchangie....unajikuta conscious wakati mburula.......kalaleeee
[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Message sent.
Story za kimama mama uwe unazimalizia kwenu na bimkubwa wako au dadazako sio kutuletea huku et miaka 5 we una uhakika utakuwepo?
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!
wewe je?
Nimekupenda buree asante
Ahsanteni sana.Nimewapendaje?Nimekupenda bureeeeee
watu wa ajabu humu ndani, sasa wewe unaingia jukwaa la celebrities halafu unaleta habari za siasa wapi na wapi.. kwani hatujui uwepo wa kura za maoni? kwani mleta mada hajui kuna majukwaa mengine na hili ndio relevant kwa swali lake? Steve junior , inawezekana ndio kina team Wema hao wanaleta siasa humu