Nawapongeza kwa miaka yote mlijaribu lakini baada ya miaka zaidi ya 80 mmefanikiwa.
Kuna mtu mmoja anasema eti mwaka mmoja tu semi na hatuishii hapo.
Nawakumbusha ninyi siyo Ihefu, ninyi ni Dar Young Africans mlioanza miaka mingi kabla ya uhuru na mafanikio mmekuja kuyabahatisha mwaka huu.
Hongereni.