Baada ya Mo Dewji kupost pesa ya usajili Tsh Bilioni 3, Barbara naye ajibu

Baada ya Mo Dewji kupost pesa ya usajili Tsh Bilioni 3, Barbara naye ajibu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Muda mfupi baada ya Mwekezaji wa Simba SC, Mo Dewji kuchapisha ujumbe kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akidai kutoa karibu bilioni 3 kwenye usajili wa msimu huu aliyekuwa CEO wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amechapisha ujumbe unaodhaniwa kuwa amemjibu bosi wake huyo kwa zamani.

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii Barbara ameandika “A magic trick only works if the audience allows themselves to be fooled.” akiwa na maana ya “Janja janja za kichawi hufanya kazi pale tu hadhira inaporuhusu kudanganywa"

Na. @JeremiahSulle

#KitengeSports

NB: hawa ndugu wanashida Gani[emoji23][emoji23]
1691676744713.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom