Baada ya MO kutekwa, morali ya wachezaji Taifa Stars yashuka , kuchezea kichapo dhidi ya Cape Verde

Baada ya MO kutekwa, morali ya wachezaji Taifa Stars yashuka , kuchezea kichapo dhidi ya Cape Verde

Utakua ujinga wa karne!

Akina Ben Saa nane wenyewe hawakua watu?

Vipi Tundu Lisu yeye hana roho?

We are all humans, we all have the right to live.

Sio wengine waonekane kama malaika wakati wengine wanaokotwa kwenye viroba


Namuombea Heri Mo Dewji, ila sio kwa hizi exeggrations mnazofanya!
Hapana Mkuu.
Kila mtu tunamsikitia anapofikwa na majanga.
Wakati wa Ben Saa Nane tulisikitika,
Wakati wa Akwilina tulisikitika pia.
Sasa hivi MO amepata majanga tunamsikitika.
Baadae atakuja mwingine kupata majanga tutamsikitikia huyo na kuwasahau waliopita.
Ndivyo tunavyoishi mkuu.
 
Utakua ujinga wa karne!

Akina Ben Saa nane wenyewe hawakua watu?

Vipi Tundu Lisu yeye hana roho?

We are all humans, we all have the right to live.

Sio wengine waonekane kama malaika wakati wengine wanaokotwa kwenye viroba


Namuombea Heri Mo Dewji, ila sio kwa hizi exeggrations mnazofanya!
Ben saa8 amewahi kulipa mishahara ya simba??
Au lisu amewahi kununua basi la team yoyote..?

Usitake binadamu wote tuwe sawa..kila mtu anathaminika kulingana na mchango wake kwenye jamii husika..

Mimi personally ben saa8 nimemjulia jf.

Lakini MO amemlipia scholarship jamaa yangu ambaye hio hela ya scholarship tunaitafuna wote..
Unategemea wakipotea wote ntamsikitikia nani??

Binadamu anathaminika kulingana na mchango wake..
Ndio maana hata mzazi wako akipotea na akipotea mzazi wa mwingine maumivu ni tofauti..

#watu hawawezi kufanana
 
Acha upuuzi wewe Mo ni nani ashushe morali za wachezaji wa stars..?? MUNGU ANAJISIFU KWA KUTUUMBA BINADAMU NA WOTE TUKO SAWA MBELE ZA MUNGU.. ILA KUNA WAPUUZI WANATAKA KUJIONA WANATHAMANI KUBWA NA HAPO NDIPO TATIZO..
ikiwezekana huyo MO waondoke hata na macho yake... Masikini wakitekwa hakuna utafutaji wowote shenzi zenu... Siku atatekwa mtu mkubwa wa serikali na muanze kuhangaika..
Wewe ndio uache upuuzi..
Hata Mungu hakutuumba sawa.
Kuna watu hata kwenye biblia Mungu amewachagua tangu hawajazaliwa na kuna wengine amewalaani hata kabla hawajazaliwa.

Unaanzaje kusema Watu tuko sawa..

Akipotea baba yako na akipotea baba yangu utaumia sawa sawa??

Kila mtu anathaminiwa kulingana na mchango wake..ndio maana waziri mkuu hapangi foleni barabarani lakino wewe unapanga wakati wote ni binadamu
 
Mkuu hebu mwisho wa mwezi kalipe wachezaji na viongozi wa pale Msimbazi mishahara na posho zao.


Ukiweza basi nawewe utaonekana wa muhimu kama Mo.


Alafu hujui kuwa JF kuna wazee wengi wa kitengo? Chunga hizo kauli zako maana hawakawii kukukwapua kama kifaranga kisicho na mama.
kwa hiyo MO akifa, na Simba imekufa!
 
Hivi unapata faida gani unapozusha uongo? Dewji pamoja na umaarufu wake wote, thamani yake haiwezi kuzidi utaifa wetu. Iacheni timu ya taifa ituwakilishe vyema huko iliko na suala la dewji iachieni jeshi la Polisi mbona wanalifanyia kazi. Mijitu imekaa kimya lakini mitandaoni inashinda kulaumu serikali wakati hata kulisaidia jeshi kukamata wahalifu hajafanya inakera sana.
 
Hahahaha hao wasitafute kisingizio yaani hiyo team Tangu atokage yule maximo sijawahi ona maajabu zaidi kila wakienda kucheza ni kuchezea kichapo naonaga hiyo hela TFF ingewalipa walimu tu sio kwa kuchezea upatu na hao wachezaje wenyewe mijitu mizima unaskia linadanganya nina miaka 23
 
Hivi unapata faida gani unapozusha uongo? Dewji pamoja na umaarufu wake wote, thamani yake haiwezi kuzidi utaifa wetu. Iacheni timu ya taifa ituwakilishe vyema huko iliko na suala la dewji iachieni jeshi la Polisi mbona wanalifanyia kazi. Mijitu imekaa kimya lakini mitandaoni inashinda kulaumu serikali wakati hata kulisaidia jeshi kukamata wahalifu hajafanya inakera sana.
Asilimia kubwa ya wachezaji wa Taifa Stars wanatokea Simba...hivyo ni wazi morali itaporomoka
 
Utakua ujinga wa karne!

Akina Ben Saa nane wenyewe hawakua watu?

Vipi Tundu Lisu yeye hana roho?

We are all humans, we all have the right to live.

Sio wengine waonekane kama malaika wakati wengine wanaokotwa kwenye viroba


Namuombea Heri Mo Dewji, ila sio kwa hizi exeggrations mnazofanya!
Muda wa kahawa ukifika fanya unicheck
 
Taifa Stars inao wachezaji wa Simba ambao maisha yao yanategemea uwepo wa MO , hili unalijua vizuri tu ila umeamua kuleta siasa kwenye jukwaa la michezo , sijui kwa faida ya nani .
Kwa hiyo wewe hao waliotajwa hawajaajiri au?hata wao pia wana watu wanaowategemea
 
Ben saa8 amewahi kulipa mishahara ya simba??
Au lisu amewahi kununua basi la team yoyote..?

Usitake binadamu wote tuwe sawa..kila mtu anathaminika kulingana na mchango wake kwenye jamii husika..

Mimi personally ben saa8 nimemjulia jf.

Lakini MO amemlipia scholarship jamaa yangu ambaye hio hela ya scholarship tunaitafuna wote..
Unategemea wakipotea wote ntamsikitikia nani??

Binadamu anathaminika kulingana na mchango wake..
Ndio maana hata mzazi wako akipotea na akipotea mzazi wa mwingine maumivu ni tofauti..

#watu hawawezi kufanana
I didn't expect you to go this low!

Yani unamsikitikia Mo kwa sababu amenunua basi la Simba ila Ben Saa nane hakuweza? Like serious?

Kama mtu hatoi scholarships basi yeye anafaa kutekwa au kuuwawa sio?

Yani hapo ulipoongelea nduguyo kupewa scholarship na wewe ukaitumia hela yake ndio umeonyesha kwamba unasikitikia your economic interests na sio uhai au usalama wa Mo Dewji.

As a matter of fact, Tanzania ni yetu sote. Kila raia anayo haki ya kuishi kwa amani bila kujali hali yake kiuchumi, au mlengo wake kisiasa!

Humanity first, Bring back Mo Dewji.
# Justice for Ben Saa Nane
# Stay strong Tundu Lisu
 
Back
Top Bottom