Pre GE2025 Baada ya Mtu Kusema Ukweli Kuhusu Uchaguzi Kuendeshwa kwa Mutatis Mutandis, Tunaomba Uchaguzi Mkuu wa 2025 Uendeshwe kwa Ceteris Peribus!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mutatis mutandis ni opposite ya ceteris paribus.

Ccm wanatumia uchaguzi wa local gorvernment kama kipima upepo cha general election, hawawezi kukubali chaguzi hizi ziende pamoja.

Wakishapima upepo kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa wanajuwa wazi wameshakataliwa na umma, sasa kinachofuata kwenye general election ni kata funuwa tu.
 
Mh. Pascal, wewe ni mwandishi wa habari mahiri tena mzoefu wa siku nyingi, tena za kitafiti na za kipelekezi, pia ni mwanasheria mzuri tu, hebu naomba sana ututengenezee kikideo kenye mambo ya"Mutatis na Mutandis" hasa kakihusu wakati wa nyuma kidogo, enzi za mwalimu na enzi za Mwinyi, hasa kule Kigoma, Mwinyi alipopata kura nyingi zaidi kuliko idadi ya wapiga kura. Halafu uweke na kikideo ka juzi ka Nape, halafu pia uweke na kale ka mwalimu akihutubia kuhusu ulevi wa madaraka na kavideo vingine vinanavyoonya na kukanya Mutatis na Mutandis.
Hii nina maana huwenda na jambo hili, tabia hii ya Mutatis na Mutandis ilianza kitambo tu, pia rejea kale kakideo ka mwalimu juu ya mtu aliyezoea kula nyama ya mtu, je, ataacha? Huwenda watakuwa walishazoea kula nyama hiyo enzi na enzi tangu tulipotwaa madaraka toka kwa "KWINI ELIZA". Je, kama tulisha zoea hivyo hiyo, "Ceteri Paribus" itatoka wapi? Tafadhali tusaidie kwa hili kama ulivyotusaidia ktk somo fulani hivi la vifungu vya katiba. Nafahamu kwa hili sii gumu sana kwa sababu Library yako na notice za darasani enzi hizo unazo.
 
Kauli ya nape kauli ya ccm na ndivyo walivyo
 
.mkuu ndugu yako paskali nimeshindwa msamee tangu 2020View attachment 3045154
Hiyo sheria ya uchaguzi ilitungwa na chama kimoja ikilenga kuvidhulumu vyama vingine, hivyo ili kuleta usawa kwenye uchaguzi ni lazima kuifuta na itungwe sheria mpya ya uchaguzi itakayovihusisha vyama vyote.
Tujikumbushe, mwenyekiti wa CCM aliwahi kusema huko nyuma kwamba "kura wapigieni upande ule lakini CCM ndiyo itakayounda serikali".
 
Ccm hawawezi kuruhusu uchaguzi huru siku wakiruhusu uchaguzi huru ndio utakuwa mwisho wake

Ccm kimeundwa na watu wajinga wajinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…