USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR