Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My Ex-coworker ameaga dunia tarehe 15/08 kwa changamoto ya kupumua. RIP OmegaSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Kwani zamani watu walikuwa hawafi?My Ex-coworker ameaga dunia tarehe 15/08 kwa changamoto ya kupumua. RIP Omega
Mbilinyi. Tufanye mazoezi wakuu hali sio nzuri!!!
Nimetoka Moshi kuzika jamaa zangu 2...na nikiwa pale kijijini ndani ya siku saba kila siku ilikuwa ni misiba na mazishi. Nilienda KCMC kucheki jamaa yangu nikakuta kawekewa mitungi 2 na kwa hali ni mbaya kweli. Sasa maajabu ni kwamba serikali pamoja na kuleta chanjo na maelekezo mengi ya Waziri, yaani ndiyo vinara wa mikusanyiko kupitia mikutano ya Waziri mkuu, mawaziri, ma RC na DC... Matamasha na mwenge wa uhuru vinaendelea kama kawaida. Sasa sijui ni kwa sababu wao sasa wameshapata chanjo???Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Wewe si ndiyo ulikuwa unataka corona iwepo ulikuwa unaomba usiku na mchana? Namuomba Mungu aruhusu corona ikuue kabisa wewe mwenyewe shetani mkubwa!!Wapuuzi nyie si ndiyo mmetufikisha hapa na sera zenu za nyungu?
View attachment 1898430
Na jamaa yenu huyu?
View attachment 1898431
Nini anafanya nani kuzuia hayo yasitokee? Au ni mwendo wa kodi na tozo tu?
hatutawaacha salama. Inshallah.
Nyumbani kwenu wamekufa wangapi mkuu?? Pole sana lakini naona wewe umebaki!!Nimetoka Moshi kuzika jamaa zangu 2...na nikiwa pale kijijini ndani ya siku saba kila siku ilikuwa ni misiba na mazishi. Nilienda KCMC kucheki jamaa yangu nikakuta kawekewa mitungi 2 na kwa hali ni mbaya kweli. Sasa maajabu ni kwamba serikali pamoja na kuleta chanjo na maelekezo mengi ya Waziri, yaani ndiyo vinara wa mikusanyiko kupitia mikutano ya Waziri mkuu, mawaziri, ma RC na DC... Matamasha na mwenge wa uhuru vinaendelea kama kawaida. Sasa sijui ni kwa sababu wao sasa wameshapata chanjo???
Wewe si ulitaka tuamini na kukubali uwepo wa corona? Basi wewe na corona mmeshinda maana hicho mlichokitaka kimetokea.
Acha uongo wako, kwani magonjwa mengine hayaui?
Malaria ndio inaongoza kuua ikifuatiwa na maradhi yanayoathiri mfumo wa kupumua (respiratoru complications), Ukimwi (AIDS), upungufu wa damu na magonjwa ya moyo.
Mbona hayasemwi?
Wewe si ndiyo ulikuwa unataka corona iwepo ulikuwa unaomba usiku na mchana? Namuomba Mungu aruhusu corona ikuue kabisa wewe mwenyewe shetani mkubwa!!
Haahahhahahaaha shenzi wewe hahaahhahaha nimecheka kiboya sana sana. Tuliwahi kusema hapa mkasema oogh misiba wapi mmeona kuna misiba? Hahhaha eti mbona watu wanakufa tu hata kwa malaria? Hahaahaah Leo mmepiga u-turn sio? Nasema mfe na mtakufa hadi akili ziwakae vizuri. Wakuu njooni msikie huku BAK Erythrocyte na wengineSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Haahhhaahha naona Makada mnageukana......inakuaje tens hapa? USSR mbona wenzio wanakugomea? Mtanatutanamleta mada si vibaya ukafanya check up ya akili hospitali naona kama huko sawa hivi
Vp takwim za vifo vitokanavyo na Malaria unazo?
mleta mada si vibaya ukafanya check up ya akili hospitali naona kama huko sawa hivi
Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Ulivyokuwa mpumbavu unadhani mwuungwana huogopa kufa.
Mwuungwana haogopi kufa bali huogopa kufiwa. Kwa mwuungwana ni heri afe yeye kuliko kufiwa wapendwa wake.
Labda huyu ni mwuungwana hata ku tuzidi sisi?
Balozi Mulamula alifafanua kauli yake kwa kusema kuwa, Balozi au afisa Diplomasia anayekwenda mahakamani kuhudhuria kesi ya Mbowe anajihatarishia maisha yake na pia yuko hatarini kuambukizwa Corona!"
Balozi Mulamula usiwatishe mabalozi. Mahakama ni eneo la umma, huru na salama
Kwa sababu mu wajinga mamburula bila shaka mnadhani waliokufa mmewazidi sana.
View attachment 1902361
Yaonesha hata huyo hamuamini kuwa hivi sasa anaongoza malaika.
Cc: Lorenzo Samike
Haahahhahahaaha shenzi wewe hahaahhahaha nimecheka kiboya sana sana. Tuliwahi kusema hapa mkasema oogh misiba wapi mmeona kuna misiba? Hahhaha eti mbona watu wanakufa tu hata kwa malaria? Hahaahaah Leo mmepiga u-turn sio? Nasema mfe na mtakufa hadi akili ziwakae vizuri. Wakuu njooni msikie huku BAK Erythrocyte na wengine
Haahhhaahha naona Makada mnageukana......inakuaje tens hapa? USSR mbona wenzio wanakugomea? Mtanatutana
Hahaahahaa haahaaahahaaa na badoKenge atakuwa kaguswa huyo. Akaguliwe masikioni tafadhali.