Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati nzuri mtu akisoma nilichoandika na ulichoandika wewe atajua nani mjinga[emoji23]Aliyepanga kuficha takwimu za Corona akiwa na nia ovu kibindoni alikuwa na nia ya kuwafanya wajinga kuulizana swali kama lako
Niliandika juzi Kati hapa kwamba ukoo wetu umepoteza watu 9 ndani ya wiki moja.kati ya watu walionidhihaki ni wewe naona leo yamekukuta endelea kuugua Sasa.Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Bahati nzuri mtu akisoma nilichoandika na ulichoandika wewe atajua nani mjinga[emoji23]
Tofauti ni zipi zibainishe hapa!!!Kuna tofauti kati ya magonjwa yenye tiba na/au kinga na janga la maambukizi (contagion pandemic) lisilo na tiba wala kinga madhubuti.
Utafiti umefanya lini na wapi???Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Vijiji vya wilaya gani,huku Nassa Magu vijijini hakuna majanga kama hayoSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Kuna workmates wafuasi wahafidhina wa dini mojawapo kuu Tanzania, wao hawaamini kabisaHivi umejisahau ulivyokuwa (Pamoja na wenzako) mnashabikia kuwa hakuna corona ila ni vita za mabeberu wanawaonea donge na utajiri wenu? leo we ndio unaongea haya? Tazama hapa chini bandiko lako enzi za JPM kisha ujipige kifuani useme 'Mimi ni mmoja wa waliofikisha haya mambo hapa, nastahili kuwajibika na ujinga wangu'
View attachment 1898452
Familia yetu haijanguswa, kazini kwetu hatujanguswa, mtaani kwetu sijasikia aliyekufa kwa Covid 19, sijui research yako umeifanya wapi na wapi hadi ukaja na hitimisho hili.Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR