Wewe hukuwa mmoja wa mliokuwa hamwamini uwepo wake pamoja na kutotaka chanjo?Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Wewe si ulitaka tuamini na kukubali uwepo wa corona? Basi wewe na corona mmeshinda maana hicho mlichokitaka kimetokea.Wewe hukuwa mmoja wa mliokuwa hamwamini uwepo wake pamoja na kutotaka njano?
Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Acha uongo wako, kwani magonjwa mengine hayaui?Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Mataga mwenzako huyo ujuemleta mada si vibaya ukafanya check up ya akili hospitali naona kama huko sawa hivi
Wapinga chanjo na njia za kisayansi za Kinga za kitaalamu,mnaishia kuamini uganga wa kienyeji.Acha uongo wako, kwani magonjwa mengine hayaui?
Malaria ndio inaongoza kuua ikifuatiwa na maradhi yanayoathiri mfumo wa kupumua (respiratoru complications), Ukimwi (AIDS), upungufu wa damu na magonjwa ya moyo.
Mbona hayasemwi?
Unafahamu kuwa maisha ya yeyote awae yule anafaa kulindiwa haki ya Maisha yake na Hatari zote zinazo hatarisha Maisha ikiwani pamoja na magonjwa?Since 2019 Corona up to covid 19 watakufa watu ndo mahubiri ila tukija kitakwimu Kuna magonjwa yauwa zaidi ya uviko.!
Ww pia umekufa.....shtuka ChiefSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Acha uongo wako, kwani magonjwa mengine hayaui?
Malaria ndio inaongoza kuua ikifuatiwa na maradhi yanayoathiri mfumo wa kupumua (respiratoru complications), Ukimwi (AIDS), upungufu wa damu na magonjwa ya moyo.
Mbona hayasemwi?
Tumeshasema na tunarudia, hatuko tayari kufanyiwa majaribio, inabidi mtuelewe tu, hizi kelele hazitawasaidia sanaSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Wafuasi wa gwajiboy watakushukia sasa hiviSasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Zitto ni daktari?Magonjwa mengine pia hapa kwetu hayaui kama Corona. Uthibitisho wa wazi ni huu hapa:
#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona