Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Acha uongo wako, kwani magonjwa mengine hayaui?
Malaria ndio inaongoza kuua ikifuatiwa na maradhi yanayoathiri mfumo wa kupumua (respiratoru complications), Ukimwi (AIDS), upungufu wa damu na magonjwa ya moyo.
Mbona hayasemwi?
Zitto ni wakala wa mabeberu. Ni beki mtiifu kwenye genge la wahalifu wanaouza machanjo.Zitto ni daktari?
Zitto ni daktari?
Mbona wewe hujafa?
Kufa ili tuamini. Vinginevyo hizi ni porojo za machanjo tu.
Ni mjinga peke yake aliye kama huyu:Hali ni mbaya tuache kujitoa akili......watu wanakatika isivyo kawaida...
Zitto ni wakala wa mabeberu. Ni beki mtiifu kwenye genge la wahalifu wanaouza machanjo.
Mama alianza kutangaza visa vya corona naona ameishia njiani!Sasa misiba IPO karibu kila mtaa na Kijiji hasa wazee wanapukutika fastest ,miili ya watu imejaa mahospitalini ni misiba tu.
Mwenye magroup ya kazini wadau wanatangaza ndugu zao kufa kila uchao hali inatisha Sana
Nani hajaguswa nani hajaona Corona ilivyoshida watu wanazika kila siku kila mkoa na wilaya
USSR
Sasa unataka tufanyeje kwa mfanoHali ni mbaya tuache kujitoa akili......watu wanakatika isivyo kawaida...
Usikimbilie huko,Acha uongo. Hizi ni kazi za watu. Covid-19 imeua 4.3 milioni mpaka sasa dunia nzima. Malaria kwa 2020 na 2021 imeua 0.5 milioni dunia nzima.
Mwovu ni wewe unayetembea na bunduki kiunoniHaihitaji kuwa daktari kupata takwimu sahihi za ugonjwa huu hata kama waovu nyie mmeamua kuuficha kwa makusudi kuzificha
Usikimbilie huko,
UVIKO-19 ni kichaka cha kupitia mgogoro wa kiafya (TB, Heart Cardiac attack, Ukimwi, Kisukari)
Tazama hapo chini
Communicable diseases ni nini?
Si magonkwa ya kuambukiza Malaria ikiwemo?
What causes the most deaths?
1. Communicable, maternal, neonatal, and nutritional diseases
2. Non-communicable diseases
3. Injuries
View attachment 1898670
View attachment 1898671
Comparison with other countries
View attachment 1898672
View attachment 1898674
Magonjwa ya mifumo ya kupumua yalikuwa yanaathari hata kabla ya ujio wa UVIKO-19
"..Cardiovascular dysfunction were the most frequent cause of casualties in Tanzania as of 2019, with a rate of almost 96.04 deaths per 100,000 individuals. Respiratory infections and tuberculosis followed closely, causing 94.33 deaths per 100,000..."
Magonjwa makubwa yanayoongoza kusababisha vifo Tanzania ni:
Malaria
- HIV / AIDS.
- Stroke.
- Tuberculosis.
- Ischemic heart disease.
- Malaria.
- Diarrheal diseases.
- Congenital defects.
- Cirrhosis.
Malaria is a leading cause of death and disease in many countries, and young children and pregnant women are most affected including Tanzania especially in the rural areas.
6.12 deaths per thousand population
In 2020, the crude death rate for the United Republic of Tanzania was 6.12 deaths per thousand population . Crude death rate of the United Republic of Tanzania fell gradually from 17.88 deaths per thousand population in 1971 to 6.12 deaths per thousand population in 2020.
View attachment 1898696
Soma vizuri nilichoandika sio kukimbilia kujibu matusiKwa hiyo unataka kunidanganya kuwa covid-19 haijaua mtu tangu ianze? Takwimu zako hazinyeshi mtu hata 1 aliyekufa kwa covid-19. Huo ni uongo uliokubuhu. Hauna hata akili ya kujua kuwa takwimu unazijidai nazo ni za wakati ambao kulikuwa hakuna covid-19 (2009-2019).
View attachment 1898705
We shoga acha matusi. Jibu kistaarabu.Maswali ya kijinga ambayo maficha takwimu yalidhani kuwa kuna mtu achilia mbali mpumbafu yeyote atakaa kujiuliza au kumwuliza mtu yeyote mwenye akili zake
Sasa ulitegemea corona isiongoze kwa idadi ya vifo wakati imechukua nafasi ya vifo kama vya kisukari,presha,kansa,magonjwa ya moyo na magonjwa ya mfumo wa upumuaji.Acha uongo. Hizi ni kazi za watu. Covid-19 imeua 4.3 milioni mpaka sasa dunia nzima. Malaria kwa 2020 na 2021 imeua 0.5 milioni dunia nzima.
Sasa ulitegemea corona isiongoze kwa idadi ya vifo wakati imechukua nafasi ya vifo kama vya kisukari,presha,kansa,magonjwa ya moyo na magonjwa ya mfumo wa upumuaji.
Kwani wewe umenielewa vp mkuu? nilichokusudia ni kwamba hivyo vifo vyengine sasa hivi ni kama vimepumzika na corona ndio inatamba sasa hivi mtu akisikia kifo tu keshafikiria ni corona tu.Mjibu yule aliyesema kuwa corona haiuwi watu wengi. Soma uzi wote uelewe. Usikurupuke kumjibu mtu ambaye amesema kile unachokisema. Mjibu nayebisha. Don't waste your time by preaching to the converted.