Baada ya Mwigulu kudai VAR kisa bao la Chama, hii ni kauli ya Ofisa Habari wa Simba

Baada ya Mwigulu kudai VAR kisa bao la Chama, hii ni kauli ya Ofisa Habari wa Simba

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mara baada ya Simba kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza, bao ambao lilizua utata kutokana na baadhi kuamini kabla ya tukio hilo kulitokea Meddie Kagere kuwa offside kisha Clatous Chama kufunga, kuna maoni mengi yalitolewa.

Sehemu ya maoni hayo yalitolewa pia na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mdau mkubwa wa Klabu ya Yanga, akidai kuwa ni vema sasa Tanzania tukaanza kutumia VAR.

Kauli hiyo ilizua mjadala mkubwa kwa wadau wengi, huyu hapa ni Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally naye ametoa tamko lake kuhusu matumizi ya VAR…

“Nimeona mjadala wa VAR 👏👏 ni wazo zuri naamini nia ni kuufanya mpira wa nchi hii uendelee kuwa bora zaidi.

“Lakini kwangu VAR sio tatizo la msingi la mpira wetu.

“Tatizo la msingi la mpira wetu ni sehemu ya kuchezea (PITCH).

“Tuna pitch mbovu sana nchi hii ukitoa Taifa, Azam Complex na Kaitaba, viwanja vingi vilivyosalia ni changamoto.

“Mpaka leo viwanja vyetu vinapakwa chokaa kabla ya mechi na baada ya muda chokaa inafutika uwanja unakua hauna mistari.

“Mvua zikinyesha kidogo tuu mpira hauchezeki.

“Mechi nyingi zinachezwa kwa kulazimishwa mfano mechi ya Mbeya City Vs Ruvu Shooting haikupaswa kuchezwa pale Sokoine.

“Ushauri wangu kabla ya ku invest kwenye VAR tungejikita kuboresha viwanja.

“Europe walianza kuboresha viwanja ndo wakaja kwenye VAR.

“Na kabla ya kufika kwenye VAR mamlaka husika waendelee kuboresha viwango vya waamuzi wetu wapate seminar za kutosha na wapate mechi kubwa za Afrika ili kuongeza uzoefu na kujiamini kwao.

“Tukishamaliza kuwekeza kwenye Pitch ndo tutakuja kwenye VAR.”
 
Huyu nae anakurupuka,kwan Mwigulu hajazungumzia issue ya nyasi bandia?
 
😄😄 amempa makavu mwigulu nchemba khs viwanja vya Michezo vinavyomilikiwa na CCM hapo.
 
Mleta habari acha uongo.. suala la VAR alilosema mwigulu ni baada ya match ya yanga vs mbeya city., ko maoni ya mwigulu aliyasema hata kabla ya match ya simba vs mbeya kwanza.. tatizo hapo ni kwamba goli la chama limekuchanganya sana na ndo maana unajaribu kuunganisha matukio ili kufurahisha ubongo wako na wana utoh wenzako..
 
Mwingulu alizungumzia vyote VAR na viwanja na pia alizungumzia baada ya mechi ya Yanga na Mbeya City
 
ligi ya mwaka huu ni kama inaelekea kuvurugika na wahusika wakuu wa kuivuruga ni simba………………..
 
Mara baada ya Simba kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza, bao ambao lilizua utata kutokana na baadhi kuamini kabla ya tukio hilo kulitokea Meddie Kagere kuwa offside kisha Clatous Chama kufunga, kuna maoni mengi yalitolewa.

Sehemu ya maoni hayo yalitolewa pia na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mdau mkubwa wa Klabu ya Yanga, akidai kuwa ni vema sasa Tanzania tukaanza kutumia VAR.

Kauli hiyo ilizua mjadala mkubwa kwa wadau wengi, huyu hapa ni Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally naye ametoa tamko lake kuhusu matumizi ya VAR…

“Nimeona mjadala wa VAR [emoji122][emoji122] ni wazo zuri naamini nia ni kuufanya mpira wa nchi hii uendelee kuwa bora zaidi.

“Lakini kwangu VAR sio tatizo la msingi la mpira wetu.

“Tatizo la msingi la mpira wetu ni sehemu ya kuchezea (PITCH).

“Tuna pitch mbovu sana nchi hii ukitoa Taifa, Azam Complex na Kaitaba, viwanja vingi vilivyosalia ni changamoto.

“Mpaka leo viwanja vyetu vinapakwa chokaa kabla ya mechi na baada ya muda chokaa inafutika uwanja unakua hauna mistari.

“Mvua zikinyesha kidogo tuu mpira hauchezeki.

“Mechi nyingi zinachezwa kwa kulazimishwa mfano mechi ya Mbeya City Vs Ruvu Shooting haikupaswa kuchezwa pale Sokoine.

“Ushauri wangu kabla ya ku invest kwenye VAR tungejikita kuboresha viwanja.

“Europe walianza kuboresha viwanja ndo wakaja kwenye VAR.

“Na kabla ya kufika kwenye VAR mamlaka husika waendelee kuboresha viwango vya waamuzi wetu wapate seminar za kutosha na wapate mechi kubwa za Afrika ili kuongeza uzoefu na kujiamini kwao.

“Tukishamaliza kuwekeza kwenye Pitch ndo tutakuja kwenye VAR.”
Hivi ukileta habari halisi unapungukiwa nini badala ya kuongeza uongo kwenye habari ambayo Mtu kaandika kwenye akaunti yake? Mwigulu kataja tukio la Mayele kuambiwa ameotea wakati marudio ya video yalionesha hajàotea. Chama ametajwa wapi kwenye tweet ya Mwigulu?
 
Mara baada ya Simba kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza, bao ambao lilizua utata kutokana na baadhi kuamini kabla ya tukio hilo kulitokea Meddie Kagere kuwa offside kisha Clatous Chama kufunga, kuna maoni mengi yalitolewa.

Sehemu ya maoni hayo yalitolewa pia na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mdau mkubwa wa Klabu ya Yanga, akidai kuwa ni vema sasa Tanzania tukaanza kutumia VAR.

Kauli hiyo ilizua mjadala mkubwa kwa wadau wengi, huyu hapa ni Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally naye ametoa tamko lake kuhusu matumizi ya VAR…

“Nimeona mjadala wa VAR [emoji122][emoji122] ni wazo zuri naamini nia ni kuufanya mpira wa nchi hii uendelee kuwa bora zaidi.

“Lakini kwangu VAR sio tatizo la msingi la mpira wetu.

“Tatizo la msingi la mpira wetu ni sehemu ya kuchezea (PITCH).

“Tuna pitch mbovu sana nchi hii ukitoa Taifa, Azam Complex na Kaitaba, viwanja vingi vilivyosalia ni changamoto.

“Mpaka leo viwanja vyetu vinapakwa chokaa kabla ya mechi na baada ya muda chokaa inafutika uwanja unakua hauna mistari.

“Mvua zikinyesha kidogo tuu mpira hauchezeki.

“Mechi nyingi zinachezwa kwa kulazimishwa mfano mechi ya Mbeya City Vs Ruvu Shooting haikupaswa kuchezwa pale Sokoine.

“Ushauri wangu kabla ya ku invest kwenye VAR tungejikita kuboresha viwanja.

“Europe walianza kuboresha viwanja ndo wakaja kwenye VAR.

“Na kabla ya kufika kwenye VAR mamlaka husika waendelee kuboresha viwango vya waamuzi wetu wapate seminar za kutosha na wapate mechi kubwa za Afrika ili kuongeza uzoefu na kujiamini kwao.

“Tukishamaliza kuwekeza kwenye Pitch ndo tutakuja kwenye VAR.”
Mwambie apitie hii sheria
Screenshot_20220207-084825_Facebook.jpg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mwingulu alizungumzia vyote VAR na viwanja na pia alizungumzia baada ya mechi ya Yanga na Mbeya City
Kwahivyo unazungumza vyote, na kufanyiwe kazi vyote kwa pamoja inawezekana..!

Kinaangaliwa kitu muhimu kwanza nacho ni viwanja, ili wachezaji wasicheze kwenye shamba la mpunga kama la Manungu Complex
 
Back
Top Bottom