Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

6% ya retention fee kila mwaka huwa ni ya deni la awali au deni linalobaki?
Ni ya deni la lililobaki.

Mie baada tu ya kumaliza chuo jumla ya pesa niliyokuwa nimetumia ilikuwa 11,394,700 hii ni pesa ambayo ilitumika kunihudumia kipindi cha masomo yangu. Mwaka huo huo namaliza chuo hii pesa ilikuwa na retention fee ya Tsh 1,400,094. Hii inamaanisha retention fee inaanza kuhesababiwa toka siku ya kwanza unapoanza kupokea hela ya bodi. Ukijumlisha na administration charges ya 113,947 deni langu la awali ndio lilikuwa linaleta jumla ya 12,908,741.

Hili deni nimelilipa kwa mda wa miaka kama 6 likaisha ila nikajikuta kuna retention fee mpya ambayo imezaliwa katika miaka hii 6 tena ambayo ndiyo ambayo haikuonekana kule hazina maana haipo kwenye deni la awali. Jumla ya Tsh 1,192,422.82 iliongezeka kama retention fee kwa miaka hiyo ambayo nilikuwa nalipa.

Sasa unaweza ukaangalia hiyo retention fee inaongezeka kwa kiasi gani na ni kutoka kwenye principal au ni deni lilobakia.

Kwangu jumla ya retention fee toka naanza first year hadi siku namaliza kulipa deni ilifikia Tsh 2,592,516.82 hii inajumuisha retention fee ile ya awali Tsh 1,400,094 hii ipo by default na inaanza kuwa calculated tangu ulipoanza kupokea boom na ile nyingine ni ile inayoongezeka kadiri unavyokaa na hela ya bodi baada ya kumaliza chuo, ambayo kwangu ilifikia Tsh 1,192,422.82.

Note:
Kuna data nimeirekebisha kwenye original post yangu uliyoiquote. Nilikosea badala ya kuweka retention fee ya Tsh 1,400,094 niliweka ile iliyoongezeka ambayo ni Tsh 1,192,422.
 
Lipeni madeni acha kulalama na watu,mikopo isipotolewa,utakuwa wa kwanza na uzi mpya hapa,
Tatizo letu vijana mnaokaa kwa shemeji zenu huwa hamsomi post na kuielewa mnakimbilia kuchangia ili shemeji waone msikose msosi
 
Haionekani mkuu.

Labda kama ukitaka ionekane inabidi umwambie mwajiri wako aiingize.

Kwa maelezo yao retention fee inachajiwa kwenye principal amount.

Na inachajiwa katika kipindi chote kuanzia kipindi hujaanza kulipa mpaka utakapoanza kulipia na kuendelea hadi pale itakapoisha kulipwa hiyo principal amount!
Ni principal au outstanding loan?
Kama ni hivyo mbona majanga
 
Wako watumishi waliobadili majina wakadakwa kupitia namba ya form four.
Pona yako usiajiriwe kwenye utumishi milele
Umefanya la maana.
Mimi hii mbinu ya bi mkubwa ndipo nilipowapiga chenga. Na nina mpango kabisaa nibadilia majina. Kwani kitu gani bwana?
 
Ahsante kwa maelezo:
Kwa maana hiyo Retention fee yako ni ya miaka 9.
Miaka 3 ya masomo+6 ya kuanza kulipa.
Jumla ya retention fee ni 2,592,000/=
1. Hii retention fee mbona ndogo sana ukilinganisha na loan yako?
2. Wewe ni mtu wa pili nakusikia unasema retention fee inaanza kuhesabiwa pale tu unapoanza kupokea boom first year na sio baada ya kumaliza chuo.
Kama ni hivyo mfano first year nimetumia milioni 3, Je retention fee ya mwaka huo itakuwa ya milioni 3 au yote ya miaka 3?
Jinga kabisa hawa bodi
Ni ya deni la lililobaki.

Mie baada tu ya kumaliza chuo jumla ya pesa niliyokuwa nimetumia ilikuwa 11,394,700 hii ni pesa ambayo ilitumika kunihudumia kipindi cha masomo yangu. Mwaka huo huo namaliza chuo hii pesa ilikuwa na retention fee ya Tsh 1,400,094. Hii inamaanisha retention fee inaanza kuhesababiwa toka siku ya kwanza unapoanza kupokea hela ya bodi. Ukijumlisha na administration charges ya 113,947 deni langu la awali ndio lilikuwa linaleta jumla ya 12,908,741.

Hili deni nimelilipa kwa mda wa miaka kama 6 likaisha ila nikajikuta kuna retention fee mpya ambayo imezaliwa katika miaka hii 6 tena ambayo ndiyo ambayo haikuonekana kule hazina maana haipo kwenye deni la awali. Jumla ya Tsh 1,192,422.82 iliongezeka kama retention fee kwa miaka hiyo ambayo nilikuwa nalipa.

Sasa unaweza ukaangalia hiyo retention fee inaongezeka kwa kiasi gani na ni kutoka kwenye principal au ni deni lilobakia.

Kwangu jumla ya retention fee toka naanza first year hadi siku namaliza kulipa deni ilifikia Tsh 2,592,516.82 hii inajumuisha retention fee ile ya awali Tsh 1,400,094 hii ipo by default na inaanza kuwa calculated tangu ulipoanza kupokea boom na ile nyingine ni ile inayoongezeka kadiri unavyokaa na hela ya bodi baada ya kumaliza chuo, ambayo kwangu ilifikia Tsh 1,192,422.82.

Note:
Kuna data nimeirekebisha kwenye original post yangu uliyoiquote. Nilikosea badala ya kuweka retention fee ya Tsh 1,400,094 niliweka ile iliyoongezeka ambayo ni Tsh 1,192,422.
 
We llelAcha kukurupuka bila kujua kinacho zungumzwa!!iukimya wakati mwingine unaficha kiwango chako cha kufikiria(elimu), mtu kimuonekano anaweza akahisi wewe ni prof!!lakini ukaongea kidogo, tu akajua kumbe ni std 3 B, inshu sio kukataa kulipa deni bali ni hicho kinachotozwa kwenye deni!!
Well said mkuu
 
Nadaiwa mkuu Mimi wa asilimia 8% nili sign mikopo sasa nadaiwa 15% ya mkopo nje ya mkataba huo si wizi wa mchana kweupe kabisa
Poleeeh dea, ila usijar ni maisha tyuuh haya yatapita.
 
Wewe kama ulipata mkopo rudisha pesa acha kulalamika maana wakati unaomba ulikuwa na kiwewe cha kupata mkopo. Sasa umepata leo utaki kurudisha?? Wakati unakopa ukujua kuna riba? Acha ujinga lipa deni wengine wakope wasome.
 
Back
Top Bottom