johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!
Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.
JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.
Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.
Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.
Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.
RIP Magufuli
Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.
JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.
Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.
Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.
Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.
RIP Magufuli