Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Kwani humo ndani walikuwa yeye na mkapa tuu,si kamati ina wajumbe wengine na wapo wanaweza kueleza kama ni kweli au hapana.Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
Hilo halina ubishi lazima uwe na plan B,kama mgombea wake hakuungwa mkono ulitehemea asiwe na plan B? Bila shaka Magu aliwekwa kama plan B Ili kuua makundi yao.JK amejua kuwazuga na wapambe mmezugika kisawasawa. JK mgombea wake anajulikana hata mtanzania mwenye umri wa miaka 15 sasa anamjua maana 2015 alikuwa na miaka 9.
Kwanini?Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
Ni jambo jema!Picha anayoikumbuka jk ni hii hapaView attachment 1734960
Kwa historia ya Tanzania mambo hayaendi hivyo.Kuna watu hawajui how power works on Africa,Afrika Rais anayekuwepo Madarakani anakuwa na power sana na yeye ndio anachagua nani amrith.
Magufuli alivyo kuwa jeuri kama sio Kikwwte aliye muweka hapo basi asingempa Mama salma ubunge wa bwererer.
Hata hivyo Magufuli mwenyewe amisha lisema hill Mara nyingine kwamba Kikwete aliacha rafiko zake na akamchagua yeye.
CHADEMA na CCM ni CCM B na CCM AJK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!
Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.
JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.
Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.
Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.
Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.
RIP Magufuli
Nimekuelewa bwashee!Si lazima kuambiwa kila kitu.... Mengine ni siri za chumbani hazitolewi na kiongozi imara huubeba mzigo hata kama ni wa misumari.
Tafuta video ziko nyingi mtandaoniHii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
Yule kwenye kichwa hakuna ubongo, kichwa kimejaa bendera za Chama tu,Jamani Jane Lowasa yuko wapi? Sijamuona humu tangu huu msiba ama...!?
Hahahaaaa........!Yule kwenye kichwa hakuna ubongo, kichwa kimejaa bendera za Chama tu,
Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
Kijana una uwezo mdogo Sana WA kufikiria aiseeee.JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!
Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.
JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.
Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.
Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.
Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.
RIP Magufuli
Hahahaaaa.... Nakutakia SB ya matawi yenye baraka!Kijana una uwezo mdogo Sana WA kufikiria aiseeee.
Ha haaaaa haaa. Ni kweli...... Lkn atakuwa yuko wapi? Kapotea ghaflaYule kwenye kichwa hakuna ubongo, kichwa kimejaa bendera za Chama tu,
Ni kweli mwenyekiti ana nguvuJK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!
Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.
JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.
Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.
Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.
Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.
RIP Magufuli
Yupo, ila spidi ya ku'reply nyuzi ndo imepungua. Itakuwa bado anaomboleza.Ha haaaaa haaa. Ni kweli...... Lkn atakuwa yuko wapi? Kapotea ghafla
Vyema. Apumzike kdgYupo, ila spidi ya ku'reply nyuzi ndo imepungua. Itakuwa bado anaomboleza.