Baada ya Nape, Makamba who's next, Bashe?

Tamaa yake imevuka mipaka, baada ya kutuletea sukari yenye ubora hafifu, Leo Hadi GMO anataka kutuletea,

Amelipwa Bei Gani kutuhujumu Watanzania?
Hatari kubwa sana hii
 
Wanalazimisha kutumaliza Watanzania na Dunia Kwa kutuletea makorokoro!!
Mmejijua ninyi ni donOr country...hiyo ni insult kwa wanaowatakia mabaya!!! Sasa wanaondoaje hiyo mentally ya kuwa ninyi ni donOr kantri....! Yawezekana njia zipo nyingi! Usinirishe maneno.
 
Mmejijua ninyi ni donOr country...hiyo ni insult kwa wanaowatakia mabaya!!! Sasa wanaondoaje hiyo mentally ya kuwa ninyi ni donOr kantri....! Yawezekana njia zipo nyingi! Usinirishe maneno.
"Usinirishe maneno'" umemaanisha nini?
 
Ach
Bashe alipata Baraka za baba mtakatifu Papa Francisco anayeketi Kitini pake Mtume Petro

Hawezi kuguswa 🐼
acha kufanya kufuru kwa kiongozi wa kiroho wa Kanisa Moja TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME!!!

Hiyo ni abusive, ni dhihaka kwa Kanisa πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…