- Thread starter
- #21
Mazishi ya Lowwassa yule wa CHADEMA?Siyo rahisi kama unavyofikiria
Bashe na Rostam Aziz ndio waliiwakilisha CCM Kwenye mazishi ya kitaifa ya Lowassa 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazishi ya Lowwassa yule wa CHADEMA?Siyo rahisi kama unavyofikiria
Bashe na Rostam Aziz ndio waliiwakilisha CCM Kwenye mazishi ya kitaifa ya Lowassa 🐼
Hivi Shujaa wa Afrika kwa mujibu wa TBC Taifa kabla hajafariki aliwahi kukutana na Baba Mtakatifu aketiye kitini pa enzi? Au ndiye Rais pekee wa Tanzania kutokutana na khalifa huyo wa Kristo?Bashe alipata Baraka za baba mtakatifu Papa Francisco anayeketi Kitini pake Mtume Petro
Hawezi kuguswa 🐼
Papa Francisco ilikuwa azuru Tanzania May 2021 kwa mwaliko wa shujaa MagufuliHivi Shujaa wa Afrika kwa mujibu wa TBC Taifa kabla hajafariki aliwahi kukutana na Baba mtakatifu aketiye kitini pa enzi? Au ndiye rais pekee wa Tanzania kutokutana na khalifa huyo wa Kristo?
Kama hawakuwahi kukutana wamewahi kuwa na mawasiliano yoyote?
Bc: Askofu Niwemugizi
Kwa sababu ya GMO tuu ,lakini najua mnaompiga Majungu ni Kwa vile amewadhibiti kwenye ufisadi wenu huko kwenye sukari,mbolea,korosho nkKama nawe umeafiki HOJA hii, imeenda hiyo🙏
Rais ameshauriwa vibaya na waziri wa kilimo.Kama kweli ameruhusu genetic modified organism basi hatuna waziri pamoja na rais.
Leo HOJA ni GMO pekee,Kwa sababu ya GMO tuu ,lakini najua mnaompiga Majungu ni Kwa vile amewadhibiti kwenye ufisadi wenu huko kwenye sukari,mbolea,korosho nk
Acha porojo we Mzee,Papa Francisco ilikuwa azuru Tanzania May 2021 kwa mwaliko wa shujaa Magufuli
Baada ya kutwaliwa kwa shujaa Magufuli ndio ikabidi Mpendwa wetu mh Rais Samia azuru Vatican 🌹
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😄
Has an endEverything has a end.!?
GMO Ina udini kivipi ,Naona kuna kaudini
DelusionAfrica ndio kimbilio la Dunia siku zijazo,
Ni huku pekee ndio Bado Kuna angalau vyakula viletavyo uhai Si vyakula vya makopo.
Wewe ni agent. Utafikiwa tu.Africa tunahitaji sana GMO kumaliza tatizo la njaa na umaskini.
Umasikini upo kwenye akili zetu.Africa tunahitaji sana GMO kumaliza tatizo la njaa na umaskini.
Usisahau Nyerere, Magu, Mzee Warioba ni CCM pia lakini hawako hivyo na hawakuwa hivyo.Shida kubwa ukiwa ccm kila kitu kikiletwa kuwe kibaya au kibaya zaidi Ili mradi kina maslahi kwao hawawezi Pinga. Hata ushoga watapitisha hao hao
Vijana wa Makamo, au waweza kuwaita "Wazee wachanga"!!Hivi nape na makamba bado ni mawaziri vijana?