Baada ya Netanyahu kumkaripia Putin, Urusi yatoa amri HAMAS waachie mateka

Baada ya Netanyahu kumkaripia Putin, Urusi yatoa amri HAMAS waachie mateka

Nchi pekee yenye sauti kwa Hamas ni Iran labda na Qtaar na Uturuki kwa mbali.
Urusi hana ushirika wowote wa kijeshi na Hamas bali wana ushirika wa kisiasa tu hivyo hana msaada wowote kwa hamas mpaka aseme jambo liwe na uzito mbele Hamas.
Kweli taifa teule limeshikwa pabaya sana sasa hivi wameanza kuomba msaada kwa Urusi kukomboa mateka.
 
Mchuma janga hula na wakwao, acha wavune walichopanda.
 
Kwa hiyo, Israel Hana ubavu wa kumaliza mambo yake mwenyewe mpaka aombe msaada !? Yaani kashindwa kutoka mateka? Kwa hiyo, Yale ya Entebbe ilikuwa staging kuwatisha waarabu nini?

Hii Bora usingeitoa umewaaribia sana reputation Israel. Watakulaumu sana kwa ulichowafanyia. Au umekuwa Pro Hamas!?
 
hatujakamilisha kazi yetu gaza mkuu hatawakiwaachia
 
Na wewe usiwe punguani Mungu amekupa akili wewe kila uharo unamezeshwa tu.
Wa Israel wamejaliwa na Muumba, hata kama hupendi. Kwa ufupi aliyekupa wewe akili ndogo ndiye aliwapa wao u-genious. Ni mapenzi yake na huwezi kihoji.

Quote
 
Wa Israel wamejaliwa na Muumba, hata kama hupendi. Kwa ufupi aliyekupa wewe akili ndogo ndiye aliwapa wao u-genious. Ni mapenzi yake na huwezi kihoji.

Quote
Alianza lini kuwapa u-genious,karne ya 20 au kabla!?..maana skins newton, galileo, archimedes nk hawakuwa wayahudi
 
Mkuu naomba uwe consistence na taarifa zako; kuna thread umetuambia Israel imekomboa mateka 250 wakati mateka wanaoshikiliwa na Hamas ni 138 tu, sasa hivi unatuambia Urusi imeiamuru Hamas iachie mateka wote, sijui baadaye kidogo utatuambia nini. Unatulisha matango pori sana. Nimetoka kuangalia Aljazeera muda huu wansema Hamas hawatawaachia mateka mpaka pale Israel atakapositisha mashambulizi. Sasa hao mateka waliokombolewa na Israel ni wepi?
Duuu mara ya mwisho kupost mada hapa jamiiforum ni zaidi ya miezi 8 imepita sasa hiyo mada unayonilisha nilipost wapi ? Ebu angalia Kwanza profile yangu utaona mara ya mwisho kupost mada ni lini
 
Wakunya wengi hawana akili alafu wanasumbuliwa na njaa.
Mzee? Ni kosa la kiuandishi au? Wakunya ndo watu gani? Mbona hakuna mtu chini ya jua hili asiyekunya?
 
Ni taifa la Mungu lakini Israel ni taifa teule.
Taifa teule linagombea pa kuishi linaishi kwa mashaka, sasa hivi analazimika kuuwa hadi vitoto vidogo huko katika hali ya kujilinda.

Bora hata Tanzania tunaishi kwa Amani.
 
Duuu mara ya mwisho kupost mada hapa jamiiforum ni zaidi ya miezi 8 imepita sasa hiyo mada unayonilisha nilipost wapi ? Ebu angalia Kwanza profile yangu utaona mara ya mwisho kupost mada ni lini
Sorry Mkuu nilikuquote wewe kwa bahati mbaya. Nilikuwa namjibu huyu MK254 ambaye ndiye alipost hizo habari.
 
Taifa teule linagombea pa kuishi linaishi kwa mashaka, sasa hivi analazimika kuuwa hadi vitoto vidogo huko katika hali ya kujilinda.

Bora hata Tanzania tunaishi kwa Amani.
Uchokozi wa Hamas ndio umewaponza watoto,kwani baada ya kuua watu zaidi ya 1000 walitegemea wangeimbiwa nyimbo za pongezi?,kwenye vita vifo haviepukiki.
 
Back
Top Bottom