Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Mkuu ungetupa episode moja kabla hatujalala

One love
 
Daaah bonge LA story

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka aliambiwa asionekane na mtu yoyote.
Pia kuku afe but wakati anakimbia kuku akawa kama anahangaika means kuku hakukata roho.
Sina uhakika Ila nahisi hayo yalimuongezea matatizo zaidi. Lets wait and see.
Hapo kasema kuku alikata roho kabisa nahisi ni ule mshtuko na uoga ndo jamaa akahisi kuku kataka kupaa tena dahh...

Sipati picha jamaa alivyochanganya mbaliga zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kifala Saint Anne
 
Nenda katubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…