Benady paul
Member
- Oct 23, 2016
- 15
- 28
Kwa ambae atataka kwenda kwa Mganga real anaetoa ndagu ya utajiri bila kafara anicheki inbox.
Watu saizi tunatembelea vitz sababu ya mganga,namiliki mpesa moja BUZA na kijiwe cha kahawa m/rangi3
Sent using Jamii Forums mobile app
Mganga yeye huwa ana sehemu HATAKI kushiriki yaan pale ndo wengi wanaingia KINGI yaan mfano pale penye kunuwia maneno kimoyomoyo anakwambia semelezea maneno....it means mfano mama jooohs angevuta jamaaa angesumbuliwa na mzimu/ROHO ya marehemu...hatari sana na mganga hakutaka kuwaambia kuwa wanaenda kuua wapendwa wao
Story kali na ni nzuri sana tunaisubiria tujue jinsi gan ulikuwa drag dealer na kukimbizana na cops
Mkuu kwa sisi wasomaji wapya, ungeedit post zako zote ungeweka sehemu ya kwanza, pili, tatu............, nk.
Hapana mkuu natoka shambani kupandikiza mbegu[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa kuibiwa. Ndio navuka mto ule wa babu nikifika home tu naendeleaMzee baba jooohs unasubiri likes zijae tena au
#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
Mh..kumbe bado unaendelea na hizi mambo, nilidhani umeacha maana heading inaonesha kama una alternativeHapana mkuu natoka shambani kupandikiza mbegu[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa kuibiwa. Ndio navuka mto ule wa babu nikifika home tu naendelea View attachment 1413568View attachment 1413569
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unachukulia kila kitu serious [emoji23][emoji23]kwa vitu unavomilik ww nafanikiw bila kwend kwa mganga
yani niwe na vits afu nijisifu nmefanikiwa bcs ya mganga?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nakufuata mana niko siriaz , nilishawekaga uzi wangu wa kutafuta hio ishu maalum nyuzi zinafutwa tu,Kwa ambae atataka kwenda kwa Mganga real anaetoa ndagu ya utajiri bila kafara anicheki inbox.
Watu saizi tunatembelea vitz sababu ya mganga,namiliki mpesa moja BUZA na kijiwe cha kahawa m/rangi3
Sent using Jamii Forums mobile app
Aache kutafuta hela?!Mama mwenye nyumba alikuwa anakula timing muda wote,alishaziona hela zile😂😂.Mh..kumbe bado unaendelea na hizi mambo, nilidhani umeacha maana heading inaonesha kama una alternative
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU kwani mafanikio ni nini???kwa vitu unavomilik ww nafanikiw bila kwend kwa mganga
yani niwe na vits afu nijisifu nmefanikiwa bcs ya mganga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yangu imegotea namba 666 ile wanasema ni ya freemason [emoji23][emoji23]Tatizo unachukulia kila kitu serious [emoji23][emoji23]
Kwanini moderate wanafuta aisee HAWAJUI MAISHA TIGHT ila Mimi natania ty mkuumkuu nakufuata mana niko siriaz , nilishawekaga uzi wangu wa kutafuta hio ishu maalum nyuzi zinafutwa tu,
Sent using Jamii Forums mobile app