Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Mzee baba jooohs unasubiri likes zijae tena au

#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
 
hatari sana na mganga hakutaka kuwaambia kuwa wanaenda kuua wapendwa wao
Mganga yeye huwa ana sehemu HATAKI kushiriki yaan pale ndo wengi wanaingia KINGI yaan mfano pale penye kunuwia maneno kimoyomoyo anakwambia semelezea maneno....it means mfano mama jooohs angevuta jamaaa angesumbuliwa na mzimu/ROHO ya marehemu...
 
Duuh Jooh, fanya kui type whatsapp kisha paste ndefu ndefu,tunaonja onja tunadata,tangu saa kumi na mbili nachungulia nakuta comments tu za raia.

Cuz tunataka kujua ulichemka wapi ili watu tukarekebishe,tuukwae ukwasi.Tushasali sana,tusha bukua sana hatuoni changes, time ya upande wa pili imefika😃😃.

Tushapiga magoti sana,wewe unajua hiyo hali ulivyokuwa ukilia kwa afisa elimu kisa ada,unajua mwanaume kamili ukipiga magoti feelings yake inavyouma....ni kama kupigwa nyungu kisha wanaongeza jiwe jingine,haujakaa sawa jiwe jingine haujakaa sawa jiwe jingine mara "eeee mamaaa wananiuaaa😂😂😂"
 
Yaani Jana na leo nimekua busy na simu kufatilia hii story.
Halafu haya mambo ya uchawi bwana huku nafatilia hii story mtaani kuna bimama mmoja kama miaka miwili nyuma alipata ajali ya bodaboda akakatika mkono.

The same bodaboda juzi kampakia hyo bimama walikuwa wawili(mshikaki).Asee wamepiga mzinga na Yule boda tena bimaza mguu vunjija tena,Yule mwenzake pamoja na dereva wako vizuri.sasa nikisoma na hii story ya jamaa hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kesho asubuhi na mapema tunaanza tena kwa kasi ya 4G

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa sisi wasomaji wapya, ungeedit post zako zote ungeweka sehemu ya kwanza, pili, tatu............, nk.

Halafu ungetuambia sehemu ya kwanza ipo post namba ngapi, ya pili namba ngapi, ya tatu namba ngapi nk.

ALTERNATIVE
Omba mods wakupangie kwa kuzitop up sehemu zote ziwe mwanzoni na zipewe namba

Itasaidia wengi waisome..

Nb. Hongera, stori yako ni nzuri na ukizingatia hayo utapata wasomaji wengi nawe utafarijika kushusha nondo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ambae atataka kwenda kwa Mganga real anaetoa ndagu ya utajiri bila kafara anicheki inbox.

Watu saizi tunatembelea vitz sababu ya mganga,namiliki mpesa moja BUZA na kijiwe cha kahawa m/rangi3

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nakufuata mana niko siriaz , nilishawekaga uzi wangu wa kutafuta hio ishu maalum nyuzi zinafutwa tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…