Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Christ!!!Jizazi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Halafu unaulizwa nn hii,,mbona hiv?mhm hata majibu unayakosa aisee!Mkuu asante kwa kuendelea kunijuza kila unapotoa.
Hizi mambo za chale hizi[emoji38][emoji38][emoji38] unaweza pata demu mgongo una chale kama cutting board
Sent using Jamii Forums mobile app
njoo pm nikupe style ya kulala usiwe unaota haya mauza uzaMi kichwa changu kibovu aisee
Umenifanya niote nimejikuta Mimi ndo wewe eti nipo kwa mganga napewa masharti hayo Mara nipo maporini Mara nakimbia vichakani
Hahahaaa nimeamka najichekea mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimecheka pale aliposema alijiuliza kule kwenye vile vijumba wanafanywa nini? Maana kila aingiae hakosi kutoa kilio cha maumivu.Jamaan huuu Uzi kuna mahali nacheka mpaka machozi yanatoka...
Kwamba hudhani kama utakuja kutoka najasho lile hahaha
Hatimae akaingia na kujionea mwenyeweMi nimecheka pale aliposema alijiuliza kule kwenye vile vijumba wanafanywa nini? Maana kila aingiae hakosi kutoa kilio cha maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa una uwezo mkubwa sana wa kusimulia na mtu apata picha yote kama movie
Sipendagi habari za kishirikina lakini nime-enjoy sana story yako
Epsode ya mwisho nimecheka balaa eti upo makini kama unatafuta dawa ya corona
Sent using Jamii Forums mobile app