Mnafurahia kwasababu mnapenda Mambo ya kimbeaKwani mkuu umelazimishwa??kwa hiyo kuandika pale hujui ni kazi mno.fikilia ww kundika hilo bango lenye maneno yasiyo zidi 30 umetumia mda??akae anakufurahisha ww yeye kaz anafanya nani?tulia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu mje apaaa Mimi mkuu huu ujuzi sinasijajua kwanini hua wanatoa sijui wananionea huruma ama vipi
ngoja nichukue fursa hii kabisa hapa najua wengi wanapitia huu uzi, natafuta mtaalamu wa hatari mwenye uwezo na nguvu na wa sio mambo mengi kama za huyu jamaa. njoo pm kwa maelekezo zaidi ya kunipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu Ila tambua wewe ni mwanaume shanga waachie wanawake ndo zinawafit vizurmkuu nenda kaangalie Isidingo
Inshalah mkuu.Sawa mkuu Ila tambua wewe ni mwanaume shanga waachie wanawake ndo zinawafit vizur
Tuendelee.
Ilipita siku kadhaa safari ya kwenda kwa yule mganga ikawadia.
Hapo shule tushalegeza maana nilianza kufikiria pesa. Ukichangay a na bangi tulikuwa tunavuta ikawa ndio basi tena.
Kufika kwa mkongo anatueleza shida yetu kabla hatuja mweleza.
Na masharti yake ikawa ni kulala chini na kutoosha kichwa.
Kweli yale masharti niliyaweza na nikaanza biashara ya vitenge.
Asikuambie mtu mambo yalinyooka sana.
Nilianza na mtaji wa laki 6 Augustino alinipa ndani ya miezi mitatu nilikuwa na mtaji wa milioni 5.
Biashara ikachangamka sana na shule tukaacha.
Mara nikaanza kuona mambo ambayo siyaelewi jamaa akaniambia turudi kwa mkongo....kufika kule mganga kasema nilikosea sharti.
Inatakiwa nisafishe kwa damu ya mwanadamu.
Hapo nikawaza sina mke wala mtoto.
Nina mama na baba na ndugu zangu wa chache nikianza kutoa kafara itakuwaje....
Nikaamua rasmi acha nifilisike watu wawe salama.
Wazoefu wa biashara bila uchawi nipeni uzoefu nisimane tena.
NB:-HII STORY HATA SIO YANGU ,NIMEIKAMILISHIA TUU.
Jamaa saa nne unatoka zako shamba..
huku Jf saa NNE kuna watu wanalia hawana Mishe.
Oky Inaendelea....
Wakati niko pale chini ikabidi ni washe tochi tena kwa uoga sana maana kama unavyojua ukiwasha tochi usiku ni rahisi sana mtu hata wa mbali kukuona nikaanza kuangaika kutafuta kijiti nilizunguka kwenye ule muembe nikabahatika kupata kijiti chenye matawi matawi nikayatoa kisha nikarudi kwenye eneo la tukio nilianza kuchimba nikachinba sana hadi nikatengeneza kishimo kidogo
Kisha nikatoa zile mbegu tena kwa umakini mkubwa kama niko mahabara natafuta tiba ya corona nikazitumbukiza kisha nikachukua kile kijikisu kidogo nika mkanyaga kuku yule miguu na mabawa nikachoma sana shingoni toboa sana nikaamia sehemu nyingine toboa sana
Kisha damu zikaanza kumwagika kila sehemu nikamaliza nikawa nasubiri kuku akate roho ilichukua muda kidogo hadi kuku akatiulia kisha nikachuku ule udongo nikamwaga kwa juu nikachukua jiwe nikaweka kwa pembeni nikivyoona nimemaliza kila kitu nilichukua kuku nikatoka mbio kama Emanuel kipchonge wa kenye kuelekea njia panda ile sehemu ambayo boda boda wanapaki
Cha ajabu ile nimepiga kama atua tano nilisikia kicheko kikubwa kinatoka nyuma yangu halafu nikasika mkononi kama yule kuku anaangaika anitoke mkononi asee nilikimbai wala sikuangalia nyuma hadi njia panda huku tochi nikiwa nimezima hata siku fika kabisa nilitupa nakukimbia hadi getto kufungua mlango nilimkuta agustino kasha maliza kila kitu
Baada ya siku kama tatu kupita nilisikia mtu anakimbia kwa spidi kali nyuma ya lile getto mida kama ya saa 3 usiku lakini sikutilia shaka agustino alikuwa ametoka njee kwenda kukojoa lakini nilimsubiri bila mafaniko mpaka muda wa kulala ukafika sioni mtu asubuhi ninaamka nakuta tisheti niliokuwa nimeivaa ina matone ya damu nikazidi kuchanganyikiwa baada ya muda agustino alikuja akaniambai unaona jana usiku wakati nimetoka nilizunguka kukojoa hapo nyuma
Wakati nimemaliza nageuka nikamkuta mama mwenye nyumba amesimama nyuma yangu na siku sikia vishindo vyake na ule muda unakuta mama mwenye nyumba wamesha lala ilibidi atimue mbio hadi hosteli nikamwabia sio bangi kweli zilikuchanganya akakataa kata kata.
Ilabidi nimuoneshe nguo yangu nikamwambja na hizi damu vipi akasema eti hafahamu lakini alikuwa kama anasita sita
Basi baada ya siku kadhaa kukatika ikawa imebaki siku moja turudi kwenda kuangalia zile mbegu kama zimeota lakini nilikuwa kama nimekata tamaa nikijiiliza vile vicheko vimetokea wapi walikuwa kinanani lakini ilibaki siri yangu sikutaka kumwabia mtu nikijua naweza leta tatizo kuwa nimeaharibu dawa.
Basi siku yenyewe ikafika ilikuwa ni siku ya saba asubuhi na mapema moyo ukiwa unadanda kila mtu ikabidi apite njia yake kwenda kuvuna alichokipanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa lakini siachi kusoma,hivi Joooh anachelewa kupost nyingine sina raha[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu Ila tambua wewe ni mwanaume shanga waachie wanawake ndo zinawafit vizur
nakuhakikishia asilimia mia anafuatilia muendelezo, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] pamoja na kususa kwakeInshalah mkuu.
😁😁😁😁Hata mm huwa nawashangaaga Sana Hawa wanaume wa dar unakuta mtu anavaa suruali ya kubana mpaka matak**o yanajichora na bado anafeel comfortable kabsa..... bwana awarehem Hawa ndugu zetuUsimuonee bure mtoto wa mtu, mazingira ya Dar ndiyo yanamfanya awe hivyo, tena huyo navaa hata kikuku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii bado sana mkuu bado kuna matukio kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wavaa za kubana mmekutananakuhakikishia asilimia mia anafuatilia muendelezo, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] pamoja na kususa kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa binti mbona mnakuja kuchafua uzi wa watu, ndio hasira za kususa ..si mmesema mmesusa , sasa umesusa kumbe wataka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wavaa za kubana mmekutana
We ni herbalist nini mkuu ?[emoji28][emoji28][emoji28] Uvumilivu ukakushinda.
Hii ni tiba ya mvuke. Baadhi huwa wanaitumia kujitibu kwa kufukiza majani ya mkaratusi hasa Eucalyptus maidenii + Lantana camara + mchaichai.
Inakuwa ni league kati yako na mvuke[emoji28].
POLE.
Mkuu jaribu ku control emotional zakosasa binti mbona mnakuja kuchafua uzi wa watu, ndio hasira za kususa ..si mmesema mmesusa , sasa umesusa kumbe wataka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app