Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Natamani hata nirudi sasa nikasome comments[emoji23][emoji23][emoji23]mana nilikuwa nalenga story tu
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Haaahaa umelazimishwa?Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kosa la kwanza ,uepuke kukaa nyumba kama alokaa agustino, ,2. Uwe makini kwenye kuchagua sehemu ya kuchimbia mbegu ,Duuh Jooh, fanya kui type whatsapp kisha paste ndefu ndefu,tunaonja onja tunadata,tangu saa kumi na mbili nachungulia nakuta comments tu za raia.
Cuz tunataka kujua ulichemka wapi ili watu tukarekebishe,tuukwae ukwasi.Tushasali sana,tusha bukua sana hatuoni changes, time ya upande wa pili imefika[emoji2][emoji2].Tushapiga magoti sana,wewe unajua hiyo hali ulivyokuwa ukilia kwa afisa elimu kisa ada,unajua mwanaume kamili ukipiga magoti feelings yake inavyouma....ni kama kupigwa nyungu kisha wanaongeza jiwe jingine,haujakaa sawa jiwe jingine haujakaa sawa jiwe jingine mara "eeee mamaaa wananiuaaa[emoji23][emoji23][emoji23]"
[emoji16][emoji16]daa hii story tamu...Kuna watu wanapitia magumu aisee .. afu mtu anasema tuma na ya kutolea
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu msimuliaji anakifua hivi ungekua wewe ungeweza kutokusema jambo kwa mpishi? Ukizingatia tension aliyokua nayo, ila kila anapotaka kumshirikisha mpishi ishu ya Agustino anaweka pause!! Anakula zange bangi na uji anaondoka zake huyu jamaa jasiriHivi jamaa asingekuwa na koneksheni na mpishi angeishije na njaa ile [emoji848]
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Watu tulilenga stroy tu tukatelekeza comments za wadau ,Nimesoma yote mwanzo mpaka mwisho, nilianza saa mbili zilizopita. Wale wanaotaka summary mnafeli wapi? Ni uvivu ama nini sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asante kwa kuendelea kunijuza kila unapotoa.
Hizi mambo za chale hizi[emoji38][emoji38][emoji38] unaweza pata demu mgongo una chale kama cutting board
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii story ukisoma ukiwa umetuliza akili haswa unaweza jikuta ww msomaji ndo unayedata mana heka heka ni nyingi na haina mapumziko , yani bandua tatizo ongeza tatizo, wacha mtu amiliki chochote kile sitamwonea wivu mana sijui kapitia mangapi ,Huyu msimuliaji anakifua hivi ungekua wewe ungeweza kutokusema jambo kwa mpishi? Ukizingatia tension aliyokua nayo, ila kila anapotaka kumshirikisha mpishi ishu ya Agustino anaweka pause!! Anakula zange bangi na uji anaondoka zake huyu jamaa jasiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya