Maji kupwa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2019
- 315
- 330
Mkuu kila mtu anachukulia kutoboa kwa perspective yake yeye kama yeyeMm ulozi sitaki nasema hivi ctaki kwa herufi kubwa. ....
Kuloga kote kule bado hujatoboa mzee baba. ...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hukulazimishwa! HujalipiaNimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Utamu wake (wa story[emoji56]) unanifanya naanza kuzoea zoea pole pole
Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Hujaingia kwenye ghetto la Agustino kweli?πMi kichwa changu kibovu aisee
Umenifanya niote nimejikuta Mimi ndo wewe eti nipo kwa mganga napewa masharti hayo Mara nipo maporini Mara nakimbia vichakani
Hahahaaa nimeamka najichekea mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimae akaingia na kujionea mwenyewe
anamalizia kuvuta mineli kwanza.Jooohs!Bado tu unaandika?π
Natamani hata nirudi sasa nikasome comments[emoji23][emoji23][emoji23]mana nilikuwa nalenga story tuNilikuwa sijacoment chochote maana niliachwa mbali sana hatimae sasa tunaenda sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au na yeye zamu yake ya kuzimia imefika abadilike kuwa nguruwe???
Tusubirie azinduke
Mbona sisi tumeacha kazi tunakodoa mimacho tu huku ,, atuonee huruma tupo karantini bhana ashushe vituMnataka jamaa aache kazi zake abaki kisimulia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app