Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Mhm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukianza kusimulia nitag please haya mastori nayapenda sana..
 
Dah mkuu nimecheka hatar nataman Kama ungeelezea kwa kirefu zaid
Mkuu huyo ndugu yangu akiniruhusu nitaeleza mkasa mzima, kwa sasa yeye ni kiongozi wa kiroho na mwenzake waliyekuwa naye alikuja kuwa na utajiri wa magari na inasemekana aliendelea kuutafuta utajiri kwa waganga.
 
Duu story tamu na inasikitisha polen vijana

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…