Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Ki ukweli nimeifuatilia hii story imenihuzunisha sana. Ni watu wachache sana ambao huweza kujitoa mhanga na kusave wengine angeweza hata kuwachomea lkn alikubali kubeba msalaba mwenyewe.

Ila kutokufahamu alipokamatwa angesema ana miaka 17 hivyo angepelekwa mwenye mahakama za watoto. Asingepewa adhabu kubwa hivyo.
 
Ki ukweli nimeifuatilia hii story imenihuzunisha sana. Ni watu wachache sana ambao huweza kujitoa mhanga na kusave wengine angeweza hata kuwachomea lkn alikubali kubeba msalaba mwenyewe.

Ila kutokufahamu alipokamatwa angesema ana miaka 17 hivyo angepelekwa mwenye mahakama za watoto. Asingepewa adhabu kubwa hivyo.
Hivi wasingehitaji cheti mkuu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.

Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi
Ni kweli kabisa pambana hata akitoka umshike mkono maana nahisi umri wake utakua umeenda sana hatoweza hustle za kitaa
 
Ki ukweli nimeifuatilia hii story imenihuzunisha sana. Ni watu wachache sana ambao huweza kujitoa mhanga na kusave wengine angeweza hata kuwachomea lkn alikubali kubeba msalaba mwenyewe.

Ila kutokufahamu alipokamatwa angesema ana miaka 17 hivyo angepelekwa mwenye mahakama za watoto. Asingepewa adhabu kubwa hivyo.
Serikali ina mkono mrefu pengine waliangalia yote hayo
 
Ki ukweli nimeifuatilia hii story imenihuzunisha sana. Ni watu wachache sana ambao huweza kujitoa mhanga na kusave wengine angeweza hata kuwachomea lkn alikubali kubeba msalaba mwenyewe.

Ila kutokufahamu alipokamatwa angesema ana miaka 17 hivyo angepelekwa mwenye mahakama za watoto. Asingepewa adhabu kubwa hivyo.
Sio wote huwa wanaroho za kukunja ndugu
 
Duh huu uzi niliusoma kitambo naona Bado ni shule kwa atakae usoma
 
Back
Top Bottom