ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Utaugua bure, J5 uwepo ili ushuhudie mapokezi ya shujaa Lissu ukiwa umevaa tshirt maalum kwa tukio na kupiga picha, ukawashuhudie na kuwaonyesha lumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaugua bure, J5 uwepo ili ushuhudie mapokezi ya shujaa Lissu ukiwa umevaa tshirt maalum kwa tukio na kupiga picha, ukawashuhudie na kuwaonyesha lumumba
Kiongozi huwa naheshimu michango yako, na naamini wewe sio mmoja wa walioamini Lowassa ataleta mabadiliko yoyote na haupo kwenye kundi la waliokuwa wakizungusha mikono. Amini nakwambia upeo wa watanzania wengi upo chini. Wanafata upepo tu, hata Mbowe ampitishe Nyalandu Kisha aungane na Membe kumsimamisha awe mgombea bado kuna nyomi kubwa litashangilia tu. Kuamini maneno yangu linganisha michango yako humu JF tu na wapuuzi wengine wasiotumia LOGIC michango yao ni mipasho tu. Mfano, sehemu zote humu ulipoulizwa humu JF Lissu asipopitishwa utafanyaje?, Jibu lako limekuwa uongozi wa CDM ndo utawajua vizuri. Wenzako wasiotumia akili wakiulizwa wanaanza matusi na kejeli, na kusisitiza tayari Lissu kashapitishwa. Meaning hawana plan B. Wakati mkifia chama na kuonyesha hisia zenu, kwa Mbowe na waliomzunguka ni picha tofauti. Wanaangalia maslahi zaidi. Jumatano jioni sio mbali,tutajua mbivu na mbichi.
Mimi pia mwaka huu nampigia kura Lisu kama wakimuweka Nyalandu basi napigia CCM kosa ni kurudia kosa.Binafsi asiposimamishwa Lissu. Natupa kadi ya Chadema naachana na siasa za kipumbavu
Kuna uzembe unafanyika mahali au fitna dhidi ya lissu,nyalandu akishinda sipigi kuraMkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Fomu ya rais ilikuwa moja mbali na huo uzinduziMaajabu ya Dunia ccm kufurahia demokrasia ya Chadema. Wakati mlishindwa hata kuwakaribisha kwenye ufunguzi wa jengo ya NEC , Uchaguzi house pale Dodoma
Tusubiri,kumsimamisha nyalandu ikifanikiwa itakuwa agenda ya mbowe kama wakati ule wa lowasa wakamwacha dr slaa,hakuna presidential material kama lissu ndani ya chademaHivi hawa the so called wajumbe ni nani aliyewaroga?
Kwakweli nimeshangaa sana Tundu Lissu kuzidiwa kura ndani ya CHADEMA? Sio fair kabisa, Huyu Mbowe tuanze kumtazama kwa jicho la tatu.
Utashangaa siku ya kufika Lissu nchini yeye atakuwa zake na viongozi wa CCM kwenye msiba wa Rais Mkapa.
Ikithibitika kwamba ni kweli, itaonekana Mbowe anatumika na maccmTusubiri,kumsimamisha nyalandu ikifanikiwa itakuwa agenda ya mbowe kama wakati ule wa lowasa wakamwacha dr slaa,hakuna presidential material kama lissu ndani ya chadema
Haiwezekani 2015 wasimamishe lowasa aliyetoka ccm ,baada ya kuona watu watagundua mchezo membe akaenda ACT halafu sasa hivi wanakuja tena na Nyalandu?Ikithibitika kwamba ni kweli, itaonekana Mbowe anatumika na maccm
Watu wengi hawajui kama siasa ni vitega uchumi vya watu. Wanaamini watu wanapiga hizo show kuwatumikia wao. Ndio maana hilo somo unalotoa linadunda kueleweka.Nime screen shot hii msg yako wiki ijayo alhamisi nitakukumbusha, usije kukimbia kivuli chako. Kuna mengi msiyoyajua ingawa mmejawa na ushabiki mwingi. Watu Wana mikakati ya fedha sio ushabiki wa kufurahisha watu.
Wakafanye nini, wangelienda tu na hakuna wa kuwarudisha.Maajabu ya Dunia ccm kufurahia demokrasia ya Chadema. Wakati mlishindwa hata kuwakaribisha kwenye ufunguzi wa jengo ya NEC , Uchaguzi house pale Dodoma
Haha. Ataenda kusalimiana na Magufuli tu.CCM endeleeni kumalizia malizia vyakula vya ikulu kwa sababu sasa ni dhahili kuwa mnamuogopa Lissu kuliko Kifo na njaa.
Ila niwaambie jambo, Chadema sio wajinga, wanajua akili zenu, wanajua mawazo yenu. Majibu ya mnachokifurahia leo mnaenda kuyapata hapo Jumatatu Lissu anavoenda kutua nchini na Tarehe 28 kwenye mkutano mkuu wa Chadema
Tulia wewe utumiwe na DJ kukumwingizia pesa. Wachagga tumetumwa hela Mjini, maendeleo yanafanywa na Magu. Sasa nyie nyumbu subirini kutumika kama desturi yenuUko sahihi sana kwa usemalo, ni kweli Mbowe alifanikiwa kumuweka Lowassa na watu walitii. Na hata sasa atamuweka anayemtaka, ila sio kila siku ni Ijumaa. Safari hii akikosea shabaha, ndio atajua sisi wapiga kura ndio wenye maamuzi ya kura. Tusiandikie mate, maana umekuja kwa mihemko kama mwanamke aliyemfumania mumewe na house girl.
Tulia wewe utumiwe na DJ kukumwingizia pesa. Wachagga tumetumwa hela Mjini, maendeleo yanafanywa na Magu. Sasa nyie nyumbu subirini kutumika kama desturi yenu
Sawa Mrs Mbowe.Asante mama majaliwa
Sawa Mrs Mbowe.
Mrs Mbowe tulia uliwe kila t,un.duHapa lazima unase kwa basha mzoefu.