Uchaguzi 2020 Baada ya Nyalandu kuongoza kura za awali kwa 100%, Je ni dalili za Nyalandu kupeperusha bendera ya CHADEMA? Je, Lissu atarudi kweli J3?


Kimsingi mimi sio msemaji wa wafuasi wengine wa Cdm humu ndani, na ninakubali kutofautiana kimtazamo. Lakini sina shaka kwamba nje ya Lissu, baada ya uchaguzi huu, cdm itajikuta katika wakati mgumu. Ili cdm ibaki na nguvu yake, japo mazingira ya kidemokrasia sio rafiki, Lissu pekee ndio suluhisho. Huyo Nyalandu na Membe ni wanaccm wasaka fursa ndani ya upinzani. Sina chembe ya shaka na hili, hizo siasa za fursa kutoka kwa matapeli wa kisiasa tumeshazistukia.
 
Kuna uzembe unafanyika mahali au fitna dhidi ya lissu,nyalandu akishinda sipigi kura
 
Tusubiri,kumsimamisha nyalandu ikifanikiwa itakuwa agenda ya mbowe kama wakati ule wa lowasa wakamwacha dr slaa,hakuna presidential material kama lissu ndani ya chadema
 
Tusubiri,kumsimamisha nyalandu ikifanikiwa itakuwa agenda ya mbowe kama wakati ule wa lowasa wakamwacha dr slaa,hakuna presidential material kama lissu ndani ya chadema
Ikithibitika kwamba ni kweli, itaonekana Mbowe anatumika na maccm
 
Ikithibitika kwamba ni kweli, itaonekana Mbowe anatumika na maccm
Haiwezekani 2015 wasimamishe lowasa aliyetoka ccm ,baada ya kuona watu watagundua mchezo membe akaenda ACT halafu sasa hivi wanakuja tena na Nyalandu?
Itakuwa ni kurudia makosa makusudi.
 
Nime screen shot hii msg yako wiki ijayo alhamisi nitakukumbusha, usije kukimbia kivuli chako. Kuna mengi msiyoyajua ingawa mmejawa na ushabiki mwingi. Watu Wana mikakati ya fedha sio ushabiki wa kufurahisha watu.
Watu wengi hawajui kama siasa ni vitega uchumi vya watu. Wanaamini watu wanapiga hizo show kuwatumikia wao. Ndio maana hilo somo unalotoa linadunda kueleweka.
Watu wamesahau kwanini Slaa aliyekuwa anauzika na mwenye uwezo wa kujiuza alitoswa akaingizwa Mzee mzima tena akiwa katika hali tete kiafya lakini ana fungu heavy.
 
Naona dalili ya wagombea wote wa ccm ili wagawe kura za upinzani!!jpm,membe na nyalandu!!Sasa cha kujiuliza Ajenda ya upinzani ni nini?kwa muelekeo huu Lisu hawezi teuliwa kuwa mgombea!!!Hata lema anamtisha lisu kuja nchini!!!
 
Nawakumbusha chaguo la nyerere mkapa kaenda waliobaki sio chaguo la nyerere hata mwinyi sio chaguo lake!!jpm ni chotara wa mkapa!!ngoja tuone mwelekeo mpya wa tanzania bila nasaba za nyerere katika uongozi!!
 
Michezo ya kisiasa ni migumu sana,Mara nyingi wanaoumia Physically and Psychology ni wanachama wa kawaida na mashabiki.

Siipendi siasa lakini ndiyo inaamua maisha yetu, Mkapa na Kikwete walimuweka Magufuli tunaoteseka ni sisi wananchi huku mtaani.

Ukiona CHADEMA wamempitisha Nyallandu basi more than 70% mgombea wa Upinzani ni Membe. Binafsi simkubali Lissu kwa sababu tofauti yake na Magufuli ni ndogo sana lakini kiukweli ndiye mgombea anayeweza kumtingisha Magufuli au kumtoa madarakani kabisa na CCM wanalijua hilo. Na wakimuibia kura zake nchi itawaka moto.
 
Maajabu ya Dunia ccm kufurahia demokrasia ya Chadema. Wakati mlishindwa hata kuwakaribisha kwenye ufunguzi wa jengo ya NEC , Uchaguzi house pale Dodoma
Wakafanye nini, wangelienda tu na hakuna wa kuwarudisha.
 
Haha. Ataenda kusalimiana na Magufuli tu.
 
Tulia wewe utumiwe na DJ kukumwingizia pesa. Wachagga tumetumwa hela Mjini, maendeleo yanafanywa na Magu. Sasa nyie nyumbu subirini kutumika kama desturi yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…