Mrs Mbowe tulia uliwe kila t,un.du
Mbona unalitumia Mrs Mbowe. Si uliingizwa 2015, na mwaka huu utaingizwa maana ni kawaida yako kupigwa mabao kila uchaguziHiyo huduma unayonilazimishia situmii. Nina maadili ya dili sithubutu kutumia hilo shimo la tope.
Mh... wewe ni mrs Mbowe!Hiyo huduma unayonilazimishia situmii. Nina maadili ya dili sithubutu kutumia hilo shimo la tope.
Kimsingi mimi sio msemaji wa wafuasi wengine wa Cdm humu ndani, na ninakubali kutofautiana kimtazamo. Lakini sina shaka kwamba nje ya Lissu, baada ya uchaguzi huu, cdm itajikuta katika wakati mgumu. Ili cdm ibaki na nguvu yake, japo mazingira ya kidemokrasia sio rafiki, Lissu pekee ndio suluhisho. Huyo Nyalandu na Membe ni wanaccm wasaka fursa ndani ya upinzani. Sina chembe ya shaka na hili, hizo siasa za fursa kutoka kwa matapeli wa kisiasa tumeshazistukia.
Mkuu sijui unalifahamu hili:
"Adui yako wa kisiasa akimpatia unatakiwa umpige sana achakaye kiasi ambacho hata atakapo pata nafasi ya kurudisha ngumi zake, basi ngumi hizo ziwe hazina madhara kwako".
Na hii ndio uhalisia wa mapigo ya siasa ambayo Chadema anapambana nayo..
"Wakati unamshambulia adui yako wa kisiasa, hakikisha Magenerali wengine wako imara na wakishambulia na kutoa kipigo maeneo yote ambayo anaweza kupata usaidizi, au kukimbia kabla hajapigwa sana na kuchakazwa".
Sasa Mkuu uendeshaji vita ya kisiasa wa Chadema ni wa kitoto mpaka muda huu na sababu kubwa ni kuto kuwa makini katika kuteuwa Magenerali ambao wamebobea katika nyanja za vita. Angalia Uongozi wa juu kabisa wa Chadema unakufahamisha kuwa vita wanayoweza ni vita ya nguvu na sio uwezo wa kubobea wa akili.
Nakuuliza na napenda uwe mkarimu kwa hili , unijibu jinsi akili yako inavyo kutuma na kwa hili nitajuwa tunabadilishana ufahamu wa pamoja na nani kwa kiwango gani?.
Ukipewa au Dr Magufuli au Mbowe, Nani atakuwa mwenyekiti wako?
Ukipewa Dr Bashiru amd Mnyika nani kati ya hao utapenda katibu mkuu wako?
Ukipewa Dr. Rodrick Mpogolo au Benson Kigaila nani utapenda awe Naibu katibu Mkuu wako ?
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Chadema Salum Mwalim na CCM Dr Abdalah Juma?
Pole pole au Makene ?
Utachagua nani katika hizo nafasi zao kuzingatia weledi na ufahamu.
Unapokuwa na chama ambacho viongozi wenye Elimu ya kutosha na uwezo mpana wa kufikiria, unatengeneza Magenerali ambao kila mmoja ana uwezo wa kupigana vita kwa kiwango cha juu kabisa.
Ogopa Chama ambacho, Mwenyekiti Elimu ya Kuunga, Katibu Mkuu pia, Naibu manaibu makatibu wakuu hivyo hivyo, (Uongozi wa juu kabisa hata mwenye Degree hata iwe moja hakuna kwa dunia ya leo) Iwe bara au Visiwani. lazima kuna matatizo labda kwa leo uniambie Upevu wa Elimu sio lazima.
Huwezi kuwa na safu ya juu kabisa ya uongozi ambayo Elimu hakuna na ndio unawapa tochi ya kumulikia watu wawafuate , lazima wafuasi watakuwa na matatizo mkichwa.
Mlipopewa uhuru wa bendera mlikuwa na majenerali wangapi? we mtu, uhuru wa watu hauhijaji elimu za kijinga kama hizi phd feki tunazozipa mamlaka makubwa π π π π π π πMkuu sijui unalifahamu hili:
"Adui yako wa kisiasa akimpatia unatakiwa umpige sana achakaye kiasi ambacho hata atakapo pata nafasi ya kurudisha ngumi zake, basi ngumi hizo ziwe hazina madhara kwako".
Na hii ndio uhalisia wa mapigo ya siasa ambayo Chadema anapambana nayo..
"Wakati unamshambulia adui yako wa kisiasa, hakikisha Magenerali wengine wako imara na wakishambulia na kutoa kipigo maeneo yote ambayo anaweza kupata usaidizi, au kukimbia kabla hajapigwa sana na kuchakazwa".
Sasa Mkuu uendeshaji vita ya kisiasa wa Chadema ni wa kitoto mpaka muda huu na sababu kubwa ni kuto kuwa makini katika kuteuwa Magenerali ambao wamebobea katika nyanja za vita. Angalia Uongozi wa juu kabisa wa Chadema unakufahamisha kuwa vita wanayoweza ni vita ya nguvu na sio uwezo wa kubobea wa akili.
Nakuuliza na napenda uwe mkarimu kwa hili , unijibu jinsi akili yako inavyo kutuma na kwa hili nitajuwa tunabadilishana ufahamu wa pamoja na nani kwa kiwango gani?.
Ukipewa au Dr Magufuli au Mbowe, Nani atakuwa mwenyekiti wako?
Ukipewa Dr Bashiru amd Mnyika nani kati ya hao utapenda katibu mkuu wako?
Ukipewa Dr. Rodrick Mpogolo au Benson Kigaila nani utapenda awe Naibu katibu Mkuu wako ?
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Chadema Salum Mwalim na CCM Dr Abdalah Juma?
Pole pole au Makene ?
Utachagua nani katika hizo nafasi zao kuzingatia weledi na ufahamu.
Unapokuwa na chama ambacho viongozi wenye Elimu ya kutosha na uwezo mpana wa kufikiria, unatengeneza Magenerali ambao kila mmoja ana uwezo wa kupigana vita kwa kiwango cha juu kabisa.
Ogopa Chama ambacho, Mwenyekiti Elimu ya Kuunga, Katibu Mkuu pia, Naibu manaibu makatibu wakuu hivyo hivyo, (Uongozi wa juu kabisa hata mwenye Degree hata iwe moja hakuna kwa dunia ya leo) Iwe bara au Visiwani. lazima kuna matatizo labda kwa leo uniambie Upevu wa Elimu sio lazima.
Huwezi kuwa na safu ya juu kabisa ya uongozi ambayo Elimu hakuna na ndio unawapa tochi ya kumulikia watu wawafuate , lazima wafuasi watakuwa na matatizo mkichwa.
Duuu kazi ipo, nimejaribu kusoma ulichoandika nimechoka. Nimeishia kuona furushi la sentensi za kiswahili, zisizo na mtiririko wa kueleweka. Hata sijui nijibu kipi na niache kipi. Anyway, naheshimu mawazo na hisia zako.
Ukipata muda tuongee tuu, nitakufundisha jinsi ya kuchambua matukio ya kisiasa ili kuweza kujua kipi kitatokea baadaye. ASANTE ILA LAZIMA UJIFUNDISHE KUSIKILIZA WENZAKO, NA SISI TUMETOKA HUKO.
Asante Mkuu usiku mwema.Duuu, haya kaka, asante kwa msaada wako.
Zitto ni homeboy lakini simwamini hata kwa 10%Mimi nimemfungukia na kumwambia ukweli yaani mtu anakuwa chanzo cha kuleta taharuki ndani ya chama.
Amsapoti huyo Zitto wake na Membe wake tuone kama watafanikiwa maana tulikuwa tuna wapa sapoti kwa kuamini kuwa nao ni wapinzani wenzetu.
Zitto ni homeboy lakini simwamini hata kwa 10%Mimi nimemfungukia na kumwambia ukweli yaani mtu anakuwa chanzo cha kuleta taharuki ndani ya chama.
Amsapoti huyo Zitto wake na Membe wake tuone kama watafanikiwa maana tulikuwa tuna wapa sapoti kwa kuamini kuwa nao ni wapinzani wenzetu.
Hakuna mtu aliezaliwa miaka ya 1970s ambae hajawahi kuwa ccmSisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Vipi Engr tukupe tenda ya kujenga HQ ya CDM Dar??Mkuu pole mambo ya demokrasia hayo!
Mnapiga ramri chonganishi kama mlivyo taka kummaliza kwa risasi.Huelewi kitu unaongelea ushabiki, Lissu asipopitishwa kugombea uraisi na CDM utafanyaje?, Watu wapo kimaslahi zaidi nyie mnaleta ushabiki wa Simba na Yanga.
Hakuna mtu aliezaliwa miaka ya 1970s ambae hajawahi kuwa ccm
Mlipopewa uhuru wa bendera mlikuwa na majenerali wangapi? we mtu, uhuru wa watu hauhijaji elimu za kijinga kama hizi phd feki tunazozipa mamlaka makubwa π π π π π π π
Tusiotee mabaya. Acha mchakato uendelee hadi mwisho. It is a strategic process.Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Mkuu hongera saana ni wachache wataelewa unachokiandika.Mkuu unajitahidi katika uchambuzi, lakini moja ya mapungufu yako:
1) ama kuwa na mapenzi ya kupitiliza kwa upinzani.
2) Kutotaka kubadilishana uelewa na kuto taka kuchambua kwa undani kila tukio zito ili kupata mjumuiko ambao utatengeneza muono sahihi wa kesho kisiasa. Siasa ni pamoja na kujua kuchuja propaganda ili kutenganisha la kweli na la uwongo. Bahati mbaya unatakiwa mara nyingi uwe na elimu ya kutosha kuweza kutumia formula ya uchambuzi ya HYPOTHESIS ANALISIS NA SYNTHESIS ANALISIS kwa uweledi na ufasaha.
Bahati mbaya katika hili la upungufu na mapenzi kupitiliza tupo wengi mnoo tena pande zote mbili wasiopenda mabadiliko na wapenda mabadiliko, inapelekea kupunguza utamu wa michango na kupunguza thamani ya JF.