Uchaguzi 2020 Baada ya Nyalandu kuongoza kura za awali kwa 100%, Je ni dalili za Nyalandu kupeperusha bendera ya CHADEMA? Je, Lissu atarudi kweli J3?

Uchaguzi 2020 Baada ya Nyalandu kuongoza kura za awali kwa 100%, Je ni dalili za Nyalandu kupeperusha bendera ya CHADEMA? Je, Lissu atarudi kweli J3?

Mimi tangu nilivyoisikia ike clip lema ana msinitch Lissu nikawa sina imani na watu wa chadema.
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
 
Lissu asubiri,atakuwa waziri mkuu kwenye serikali ya Razaro Nyarandu kipenzi cha Mbowe.
 
Mkuu J5 sio mbali ndo utajua namaanisha ..sitaki ujue mm ni nani lkn chukua hii...Lissu ndo mgombea kwa 99.9%
Nime screen shot hii msg yako wiki ijayo alhamisi nitakukumbusha, usije kukimbia kivuli chako. Kuna mengi msiyoyajua ingawa mmejawa na ushabiki mwingi. Watu Wana mikakati ya fedha sio ushabiki wa kufurahisha watu.
 
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
With all due respect, mkuu nikuulize ikitokea Lisu apate vikwazo vya kugombea then chadema ndio basi tena? Kingine nini maana ya demokrasia? Huwezi kulazimisha kitu hiyo sio demokrasia. Kingine Nyalandu deserves respect. Huyu alijivua ubunge na kuja chadema pasipo ku demand chochote. Very unfair ukimwita mwa ccm na uki doubt uaminifu wake.
 
Nime screen shot hii msg yako wiki ijayo alhamisi nitakukumbusha, usije kukimbia kivuli chako. Kuna mengi msiyoyajua ingawa mmejawa na ushabiki mwingi. Watu Wana mikakati ya fedha sio ushabiki wa kufurahisha watu.
Huna unachokijua ww..
 
hizi habari za uongozi wa Chadema kutokumtaka Lissu zimezushwa na Chakubanga wa hapa chamani kwetu Lumumba.

naona kuna wanaChadema wanataka kuamini uzushi wa Chaku!
Wenye kujua undani wala hatuna hofu.. ni Lissu 2020
IMG-20200724-WA0097.jpg
 
Ujue na ww unataka tu ujumlishwe kwenye vitu vya hovyo hovyo...hv kwa akili yako unamsikiliza mtu wa lumumba??? Apate taarifa sahihi kutoka wp ?¿ Hao wanapiga ramli tu na ujue wenzio wakiandika upupu Kama huu wana b7 zao....kwnn unajitesa na ngoma za lumumba mkuu??
Lisemwalo lipo mkuu.
 
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Sema wewe. Ninyi na Nani wakati wenzio wanampigia kura Nyarandu.?
 
ujio wa Lissu naona watu wame panick kinyama yaani.

juice ya pilipili kichaa yaja, kaeni tu mkao wa kukimbilia Comoro (sijui kwa mtumbwi au kupiga mbizi mtajaza wenyewe).

habari ni.... Lissu anatinga timu Jumatatu ijayo na ndiye mgombea urais wa coalition ya upinzani kupitia chama chake cha Chadema.

habari ndiyo hiyo!
Jumatatu hii ya keshokutwa ?
 
Ni ajabu sana kamati kuu ya CHADEMA inaamini kuwa Nyalandu ni bora kuliko Lissu

Sasa kama kamati kuu yenyewe haiamini kuwa Lissu hastahili kuwa namba moja kwenye urais, kwa nini sisi wananchi tuamini kuwa yeye anafaa kuwa Rais?

Hizi kura za kamati kuu zimetuma meseji kwa wananchi na kwa Wanachadema wote kuwa Uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu hafai kuwa rais licha ya kuwa ameonekana kuwa ni mwenye kutajwa tajwa zaidi na wananchi.

Wewe timu Membe, huna lolote
 
Back
Top Bottom