Baada ya picha ya Mbowe na Lissu : Maria aandika hivi

Baada ya picha ya Mbowe na Lissu : Maria aandika hivi

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Wapendwa ushauri huu 👇🏾
“Siasa usiweke kwa moyo. Weka kwa lungs”
😀😀
Haya msinitafute baadaye na ma presha huko!
Siasa za nchi zetu hizi unaweza chizika bure kumbe!
Haya muwe na usiku mwema 👊🏽
............
User mwengine akajibu hivi;
Siasa za Africa 🌍 ndivyo zilivyo

Wanasiasa wanatofautiana jukwaani halafu baadae wanakutana na kuelewana kama vile hakijatokea kitu chochote kile... kama wagombea wa Uenyekiti CHADEMA walipokutana jana

Ila wafuasi ndio wanachukua bifu lile kama ndio ukweli wa hali ilivyo kama Yericko na mwenzake Ntobi

🤝 tunatakiwa tuwe kama wao tu na tuichukulie kawajda sana ili mwisho wa siku tusiumizame
 
Wanaume hatununiani hovyo kama wanawake. Alitaka awaone wanashikana mashati? Kutofautiana kimtizamo haina maana wachukiane.
 
Wapendwa ushauri huu 👇🏾
“Siasa usiweke kwa moyo. Weka kwa lungs”
😀😀
Haya msinitafute baadaye na ma presha huko!
Siasa za nchi zetu hizi unaweza chizika bure kumbe!
Haya muwe na usiku mwema 👊🏽
Sasa walitaka wapigane, wapige picha wamenuna. Si kila siku hawa hawa ndiyo wanaodau siasa si vita?
Sasa kama ikiwa vita baada ya uchaguzi si watagawana chama.
Tumesema atakayeshindwa hakuna kuhama chama
 
Acha upotoshaji. Haya maneno kaweka yakiwa sambamba na clip ya mwanasiasa wa Kenya akionya wanachi wasizichukulie siasa serious kutokana na tabia za wanasiasa kuwa na mambo nyuma ya pazia tofauti na wanavyoonekana hadharani au kwenye vyombo vya habari.

Mwanaaiasa huyo alikuwa anaweleza wananchi kuwa kwenye TV wanaweza kuonekana hivi halafu baadae wanaalikana kwenye dinner.

.
 
Back
Top Bottom