Surat Maria πWapendwa ushauri huu ππΎ
βSiasa usiweke kwa moyo. Weka kwa lungsβ
ππ
Haya msinitafute baadaye na ma presha huko!
Siasa za nchi zetu hizi unaweza chizika bure kumbe!
Haya muwe na usiku mwema ππ½
Ktk nguvu alizokuwa anatumia na picha ya leoAcha upotoshaji. Haya maneno kaweka yakiwa sambamba na clip ya mwanasiasa wa Kenya akionya wanachi wasizichukulie siasa serious kutokana na tabia za wanasia kuwa na mambo nyuma ya pazia tofauti na wanavyoonekana hadharani. au kwenye vyombo vya habari.
Mwanaaiasa alikuwa anaweleza wananchi kuwa kwenye TV wanaweza kuonekana hivi halafu baadae wanaalikana kwenye dinner.
.
Naona kajisahauπVp kuhusu wewe
Kumbe huyu jamaa Bogus sana.Acha upotoshaji. Haya maneno kaweka yakiwa sambamba na clip ya mwanasiasa wa Kenya akionya wanachi wasizichukulie siasa serious kutokana na tabia za wanasia kuwa na mambo nyuma ya pazia tofauti na wanavyoonekana hadharani. au kwenye vyombo vya habari.
Mwanaaiasa alikuwa anaweleza wananchi kuwa kwenye TV wanaweza kuonekana hivi halafu baadae wanaalikana kwenye dinner.
.
Hukumjua?Kumbe huyu jamaa Bogus sana.
Huu uzi ni wa uongo Mods futeni huu.Hukumjua?
Hivi kati yangu mimi na Wewe nani kaandika pumba? Ebu rudia kusoma ulichoandika kwa utaratibu kabisa. Mwandiko wako tu ni changamotoUmeandika pumba ya wapi? Hauna u GT jicheke kwanza
For sure inaumiza sana,Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah wameumia sana!!
NImegundua maria ni chizi zaidi ya fatuma
Hivi kati yangu mimi na Wewe nani kaandika pumba? Ebu rudia kusoma ulichoandika kwa utaratibu kabisa. Mwandiko wako tu ni changamoto
Upotoshaji uko wapi hapo .?Acha upotoshaji. Haya maneno kaweka yakiwa sambamba na clip ya mwanasiasa wa Kenya akionya wanachi wasizichukulie siasa serious kutokana na tabia za wanasia kuwa na mambo nyuma ya pazia tofauti na wanavyoonekana hadharani. au kwenye vyombo vya habari.
Mwanaaiasa alikuwa anaweleza wananchi kuwa kwenye TV wanaweza kuonekana hivi halafu baadae wanaalikana kwenye dinner.
.
Binafsi nawapongeza mbowe na lissu, siasa ni maneno na tofauti ya mawazo, hakuna uadui, tuendelee kuelimishana....Msimamo ni uleule, huu ni wakati wa lissu chadema, uwenyekitiWapendwa ushauri huu ππΎ
βSiasa usiweke kwa moyo. Weka kwa lungsβ
ππ
Haya msinitafute baadaye na ma presha huko!
Siasa za nchi zetu hizi unaweza chizika bure kumbe!
Haya muwe na usiku mwema ππ½
............
User mwengine akajibu hivi;
Siasa za Africa π ndivyo zilivyo
Wanasiasa wanatofautiana jukwaani halafu baadae wanakutana na kuelewana kama vile hakijatokea kitu chochote kile... kama wagombea wa Uenyekiti CHADEMA walipokutana jana
Ila wafuasi ndio wanachukua bifu lile kama ndio ukweli wa hali ilivyo kama Yericko na mwenzake Ntobi
π€ tunatakiwa tuwe kama wao tu na tuichukulie kawajda sana ili mwisho wa siku tusiumizame
Ninachopongeza wameendelea kuwa pamoja bila kujali tofauti zao, hiyo ndo demokrasia, wote wale ni WA chama kimoja, wanatofautiana kimawazo namna ya kuongoza taasisi Yao ifike mbali zaidiChadema akili KUBWA