Baada ya picha zinazohusishwa na Kajala kusambaa mtandaoni, atoa tamko la kukanusha

Baada ya picha zinazohusishwa na Kajala kusambaa mtandaoni, atoa tamko la kukanusha

Nikajua utaweka na hizo picha tuzione[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ukibahatika kuona picha iliyopigwa kwa angle nyingine utaona sio wao.....

IMG_2792.jpg

Binamu na wewe bwana , kama mtu na Mama yake walithubutu kuji video wakishindana kukata mauno unadhan zile picha ni ajabu kwao? Yani Hapo hakuna cha kuwatetea anavuna alichopanda, ndo maisha waliyoyachagua
 
Mimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...

But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa

IMG_2792.jpg

Sasa kama mtu na Mama yake wanafikia hatua hii, hiyo picha waliyopiga Ina maajabu gani tofauti na hii video ? Acheni kutetea upumbavu, wameamua kuishi maisha ya kihuni wacha wambea tuongee
 
Hapana sio kajala, hata mie mwanzo nilijua ni yeye.....sio yeye

Kwa hiyo binamu yale mapazia, rangi ya chumba, kitanda vyote sio vya kajala? Ifike wakati tuweke ushabiki pembeni , kama unaijua nyumba ya kajala vzur ukiangalia ile picha utaona vitu vyote vipo kwenye chumba cha kajala, Ina maana huyo dada alienda kupiga picha kwenye chumba cha kajala?
 
Inaelekea njomba nchumali na team yake wameamua kuwachafua Kajala na Paula.

Kuwachafua kivipi? Harmonize ndo aliwaambia wavue nguo wapige picha uchi? Na hadi walificha sura zao walijua fika walichokua wanafanya.

Hizo biashara za kupiga picha ni malaya waliokubuhu ndo wanafanya, kuna wanaume ukiwatumia picha za makalio au uchi ndo wanaamua either wakununue au lah , Naona hapo walipipga picha kipindi wanaenda Dubai, hizo picha Ndo walikua wanafanya usaili. Malaya sana kajala mbwa huyo
 
Yule sio Jala wanaosema ni Jala hawajui kuchunguza. Nimeitafuta picha nikiwa na mipango kabambe ya kumpigia nyeto mtoto na mwana ila wale sio
El fuego the fire,ndo wewe?
Kama wewe nipm tafadhali
 
Kwa hiyo binamu yale mapazia, rangi ya chumba, kitanda vyote sio vya kajala? Ifike wakati tuweke ushabiki pembeni , kama unaijua nyumba ya kajala vzur ukiangalia ile picha utaona vitu vyote vipo kwenye chumba cha kajala, Ina maana huyo dada alienda kupiga picha kwenye chumba cha kajala?
Binamu sio yeye, angalia hiyo picha yenyewe forehead mbona anaonekana kabisa hadi mashavu.... Sio k huyo
 
Kuwachafua kivipi? Harmonize ndo aliwaambia wavue nguo wapige picha uchi? Na hadi walificha sura zao walijua fika walichokua wanafanya.

Hizo biashara za kupiga picha ni malaya waliokubuhu ndo wanafanya, kuna wanaume ukiwatumia picha za makalio au uchi ndo wanaamua either wakununue au lah , Naona hapo walipipga picha kipindi wanaenda Dubai, hizo picha Ndo walikua wanafanya usaili. Malaya sana kajala mbwa huyo
😂😂😂 Binamu hebu pishaaa kule muache kajala ale mema ya dunia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Binamu hebu pishaaa kule muache kajala ale mema ya dunia

Unafikir watu wanatoa ticket za Dubai bure, binamu ku maintain status mjin kazi , hayo yote kujimanua na kujidhalilisha kisa tu akale bata Dubai na mwanae, na bado yatamkuta mengi tu .

Hayo mapicha ya uchi wasanii wengi sana wanapiga, kuna mapedeshee wengine washenz sana, unakuta picha kama hizo wamelipwa $1000, Yan wana manyanyaso, utasikia weka pozi kama umefiwa na bibi yako, Mara binua tako kama umegongwa na Bajaji , yani kudanga binamu kuone hivi hivi wadada wanateswa sana hiyo yote kupenda mteremko
 
Ni kweli walikata mauno, ila hiyo picha sio kajala....

Sasa kama Mama mtu mzima unakata mauno vile mbele ya mwanao, sasa ile picha inakupa maajabu gan ? Si wenyewe walijitengenezea mazingira ya kihuni
 
Back
Top Bottom