Baada ya picha zinazohusishwa na Kajala kusambaa mtandaoni, atoa tamko la kukanusha

Baada ya picha zinazohusishwa na Kajala kusambaa mtandaoni, atoa tamko la kukanusha

Mimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...

But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa

Huyo Penny kalipwa kama “damage control”. Ni wao aisee. Nimeona tattoo ya ua kwenye paja la kulia. Ni Kajala aisee.
 
Ila ksjala mwenyewe hana uhakika kama alipiga zile picha ama hakupiga mana anasema kwenye utetezi wake " wakachukua pichwa changu ama kinachofanana na changu wakaedit"

Yaani hajui kama kile kichwa ni chake ama kimeeditiwa hana kumbukumbu vizuri
[emoji16][emoji16][emoji3]daahhh
 
Hiyo title ya uzi.... ukitoa herufi 'm' kwenye 'Tamko' naona itapendeza zaidi na kureflect vyema 'context' ya uzi.

Turudi kwenye mada... na sie wa huku mikoani tupeni 'koneksheni' tuuone huo 'mzigo' wa Kajala.

Madam Hornet najua wewe ni gwiji downtown. Hembu fanya assist. 😎

-Kaveli-
 
Hiyo title ya uzi.... ukitoa herufi 'm' kwenye 'Tamko' naona itapendeza zaidi na kureflect vyema 'context' ya uzi.

Turudi kwenye mada... na sie wa huku mikoani tupeni 'koneksheni' tuuone huo 'mzigo' wa Kajala.

Madam Hornet najua wewe ni gwiji downtown. Hembu fanya assist. 😎

-Kaveli-
Mkuu, utaratibu upo hivi:

Tunaanza wa Ilala, tunawatumia wa Kinondoni kisha wao wanawatumia wa Temeke.

Wao watawatumia wa Kibaha na Mkuranga.

Kisha wa Morogoro na wilaya zake.

Sasa kama Kaveli upo Ntwara wewe tulia tu. Subiri Nane Nane.
 
Hamna kitu K yaani it seems kua ameamua liwalo na liwe...Paula anaishi maisha yake na K anaishi maisha yake...in short kampa Uhuru wa kufanya mambo yake
Mkuu, hii K unamaanisha nini? Maana watu tunauelewa tofauti.
 
Hahahha
Screenshot_20210608-143909.jpg
 
Wakuu X Wa Konde Boi Ametoa Tamko Lake Rasmi Kuhusu Kinachoendelea Huku Mtandano.


View attachment 1811549
Too little too late,
Umechelewa sana mama/Dada,kitendo Cha kutembea na vijana wadogo Rika la binti yako,ulichemka sana,kwa ujumla
Ur not a mother,you gave birth just like Any other animal,but motherhood,is the responsibility,
Yaani Kuna uwezekano wewe na binti yako,kupitiwa na njemba moja,karibu kutunza heshima yako kidogo iliyobaki,acha mambo ya mitandao yasio na tija,acha kupuyanga kama kabinti Kaliko vunja ungo.
 
Mimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...

But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa
hao ulionao ni hao hao lakini kwa hizi picha ni kajala na mwanae .... wewe ulizonazo ni zakina penny wa ubungo .... kwani huo mkao wakina penny wakina kajala hawauwezi kabisa?
 
Back
Top Bottom