Pre GE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

Pre GE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.

1734003772713.png

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
yaaani unajiuliza mwenyewe na kujijibu, haya andaeni hiyo fomu moja tu ya chura
 
Lisu anagombea nafasi ya uongozi ndani ya chama, ataungwa mkono na wanachama, na siyo chama. Atakapogombea nafasi ya Urais wa nchi, ndiyo ataungwa mkono na chama.

Mwenyekiti Freeman Mbowe, kila mara amekuwa akiwaeleza watu kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu, siyo ya Mnyika au mwingine yeyote. CHADEMA ni ya wanachama wote, na watanzania wote. Mtu yeyote mwenye sifa ana haki sawa na mtu mwingine yeyote.

Lisu ametangaza nia, na wengine wenye sifa wanakaribishwa.

CHADEMA siyo chama cha kidikteta kama ilivyo CCM. CHADEMA haichapishi fomu moja kwaajili ya mgombea mmoja. CHADEMA haifanyi uchaguzi wa maaigizo kama wafanyavyo CCM.
 
Lisu anagombea nafasi ya uongozi ndani ya chama, ataungwa mkono na wanachama, na siyo chama. Atakapogombea nafasi ya Urais wa nchi, ndiyo ataungwa mkono na chama.

Mwenyekiti Freeman Mbowe, kila mara amekuwa akiwaeleza watu kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu, siyo ya Mnyika au mwingine yeyote. CHADEMA ni ya wanachama wote, na watanzania wote. Mtu yeyote mwenye sifa ana haki sawa na mtu mwingine yeyote.

Lisu ametangaza nia, na wengine wenye sifa wanakaribishwa.

CHADEMA siyo chama cha kidikteta kama ilivyo CCM. CHADEMA haichapishi fomu moja kwaajili ya mgombea mmoja. CHADEMA haifanyi uchaguzi wa maaigizo kama wafanyavyo CCM.

Nimemaanisha chama kitambagua au kumtendea sawa kama wanachama wengine wa CHADEMA kama kwenye hili tu wameuchuna, na Lissu siyo anybody ni Makamu Mwenyekiti?
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
Uwehu huanza pole pole kwa kuota ndoto za hovyo kama yako!
 
Mtu kutangaza nia ya kugombea nafasi ndani ya chama ni ugomvi?

Chadema wakimtimua Lissu kwa kuonyesha nia ya kugombea nafasi ndani ya chama ambayo ni haki kikatiba basi watakuwa hawaishi demokrasia wanayoihubiri.

CCM leo hii wanaenda miezi 5 hawana makamu mwenyekiti si aibu hiyo, kwamba hakuna watu wanaoweza kujaza nafasi iliyoachwa wazi?
 
Mtu kutangaza nia ya kugombea nafasi ndani ya chama ni ugomvi?

Chadema wakimtimua Lissu kwa kuonyesha nia ya kugombea nafasi ndani ya chama ambayo ni haki kikatiba basi watakuwa hawaishi demokrasia wanayoihubiri.

CCM leo hii wanaenda miezi 5 hawana makamu mwenyekiti si aibu hiyo, kwamba hakuna watu wanaoweza kujaza nafasi iliyoachwa wazi?
Siyo ugomvi, ila kwa mwenendo wa matukio yalikuwa yakitokea mpaka kufikia leo utasema kila kitu kipo sawa CHADEMA? Naona wakiweza kupita kwenye hili salama, mambo yatakuwa moto, upinzani wenye nguvu utarejea
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
Wapiga ramli mmeshindwa na mtaendelea kushindwa.
Kwa taarifa yako Mbowe ndiye aliyemuomba Lissu agombee, na hilo utakuja kulipatia uhakika siku chache zijazo.
 
Kumbe uchaguzi ni ishara ya mtifuano? Kwhiyo Tz kuwa naa mtifuano kila baada ya miaka mitano
 
Lissu adhibitiwe na Mbowe vinginevyo anaenda kukiua CHADEMA. Akipata uenyekiti lazima atapata upinzani mkali sana toka kwa wachaga waliotapakaa nchi nzima. CCM haifurahishwi na anachokifanya Lissu.
 
Naomba kuuliza,

Uchaguzi mkuu wa Chadema ngazi ya Taifa ni mwakani mwezi wa ngapi?.
 
Uzuri lissu kaweka hoja mezani,
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
Uzuri lissu amaweka hoja mezani, hoja zote ni muhimu kwa chadema imara na kama taasisi...
 
Kwa sasa ccm watafanya wawezalo kuhakikisha mbowe anagombea uwenyekiti wa chadema, kwa lissu kuwa mwenyekiti chadema, Lumumba hakutakalika.
Lissu adhibitiwe na Mbowe vinginevyo anaenda kukiua CHADEMA. Akipata uenyekiti lazima atapata upinzani mkali sana toka kwa wachaga waliotapakaa nchi nzima. CCM haifurahishwi na anachokifanya Lissu.
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
erythrocyte kasema lissu hagombei cheo cha mbowe yaaani maana yake mbowe bado mwenyekiti na hatoki kwenye kiti yaani chawa wanakazi sana
 
Back
Top Bottom