Pre GE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

Pre GE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya sasa inaitishwa nyingine 🐼
1000017188.jpg
 
Lisu anagombea nafasi ya uongozi ndani ya chama, ataungwa mkono na wanachama, na siyo chama. Atakapogombea nafasi ya Urais wa nchi, ndiyo ataungwa mkono na chama.

Mwenyekiti Freeman Mbowe, kila mara amekuwa akiwaeleza watu kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu, siyo ya Mnyika au mwingine yeyote. CHADEMA ni ya wanachama wote, na watanzania wote. Mtu yeyote mwenye sifa ana haki sawa na mtu mwingine yeyote.

Lisu ametangaza nia, na wengine wenye sifa wanakaribishwa.

CHADEMA siyo chama cha kidikteta kama ilivyo CCM. CHADEMA haichapishi fomu moja kwaajili ya mgombea mmoja. CHADEMA haifanyi uchaguzi wa maaigizo kama wafanyavyo CCM.
Asipokuelewa basi itakuwa akili yake ni ndogo.
Lisu ataendelea kuwepo sana tu ndani ya CDM
By the way ile ramli ya kuwa Lema anakuja kwenu iliishia wapi?
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
Ccm ni mapumbavu kama fisi anayefikiri mkono utaanguka.
 
Wakuu,

Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

CHADEMA mmkajikausha nywiiiii, toka Lissu aseme atafanya press leo na hata baada ya press hamjahabarisha umma kabisa kuwa mwanachama wenu huyu ameamua kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti!

Sasa swali linabaki kuwa, lissu ataungwa mkono na chama au atafurushwa akatimkie kwenye chama kingine? Akifurushwa ataenda chama gani?
Kutangaza nia ya kugombea nafasi yoyote ndani ya Chadema ruksa ,ata kama na wewe unataka tangaza nia
 
Wapiga ramli mmeshindwa na mtaendelea kushindwa.
Kwa taarifa yako Mbowe ndiye aliyemuomba Lissu agombee, na hilo utakuja kulipatia uhakika siku chache zijazo.
Mtu akisema tofauti na chama chako tu basi ni mpiga ramli?:FeelsThinkingMan::BearLaugh:
 
Back
Top Bottom