Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hapa sasa ndio tutaelewa kama Mahakama ina nguvu kweli au ni porojo tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeamriwa arejeshwe kaziniUmesoma Uamuzi wenyewe?!🐼
Kazini Kwake Wapi?Imeamriwa arejeshwe kazini
Haina maana kuwa atarejeshwa kazini, isipokuwa atalipwa mishahara yake yote na ataendelea kulipwa kama mtumishi wa umma.
AlipokuwaKazini Kwake Wapi?
Huko ndio kurejeshwa kazini kwenyeweHaina maana kuwa atarejeshwa kazini, isipokuwa atalipwa mishahara yake yote na ataendelea kulipwa kama mtumishi wa umma.
Unajua kuwa wengi waliotenguliwa wanalipwa mishahara?
Bahati mbaya uDC sio cheo cha kiutumishi[emoji22]Inawezekana alikua hata afisa mtendaji wa Kijiji au kata kabla ya kuwa mkuu wa wilaya Kwa hiyo kurejeshwa SI tatizo,Kwa sababu sio lazina awe DC lamsingi arejeshwe kazini,na kanuni za kazi muajiri anaweza kukupangia kazi mahala popote au kukubadilishaia kazi,Kwa hiyo no problem
Takataka sasa kutongoza kumeingiaje hapa.Umesoma Uamuzi wenyewe?![emoji209]
Shujaa Magufuli alimtumbua Kamanda wa Chadema pale Kisarawe kwa sababu alikuwa anatongoza wake za watu!
Mtumishi wa pssf sijui?Inawezekana alikua hata afisa mtendaji wa Kijiji au kata kabla ya kuwa mkuu wa wilaya Kwa hiyo kurejeshwa SI tatizo,Kwa sababu sio lazina awe DC lamsingi arejeshwe kazini,na kanuni za kazi muajiri anaweza kukupangia kazi mahala popote au kukubadilishaia kazi,Kwa hiyo no problem
DAS Aligusa bimdogoUmesoma Uamuzi wenyewe?!🐼
Shujaa Magufuli alimtumbua Kamanda wa Chadema pale Kisarawe kwa sababu alikuwa anatongoza wake za watu!
Kabla ya kuteuliwa alikuwa mwanashesheria pale psssf kwa maelekezo ya mahakama anarejeshwa kwenye hy nafasi na kulipwa malimbikizo ya mshahara tangu aliposimamishwaMtumishi wa nssf/ppf sijui?
Hoja yake ilikuwa arudishwe kwa mwajiri wake kabla ya udc
Haina maana kuwa atarejeshwa kazini, isipokuwa atalipwa mishahara yake yote na ataendelea kulipwa kama mtumishi wa umma.
Unajua kuwa wengi waliotenguliwa wanalipwa mishahara?
Safi sana, mahakama imeonyesha meno yakeKabla ya kuteuliwa alikuwa mwanashesheria pale psssf kwa maelekezo ya mahakama anarejeshwa kwenye hy nafasi na kulipwa malimbikizo ya mshahara tangu aliposimamishwa
huyo jamaa ndie mrithi wa nafasi ya JJMnyika Chadema 🐒Imeamriwa arejeshwe kazini